Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Iran, Russia, Uturuki zakutana kujadili kadhia ya Syria

    Iran, Russia, Uturuki zakutana kujadili kadhia ya Syria

    Jan 20, 2018 12:12

    Msaidizi wa ngazi za juu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala maalumu ya kisiasa, mwakilishi maalumu wa Rais wa Russia katika masuala ya Syria na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki wamekutana leo mjini Sochi, Russia kuzungumzia utatuzi wa mgogoro wa Syria.

  • Njama za kuvuruga muungano wa vita dhidi ya ugaidi wa Iran, Russia na Uturuki

    Njama za kuvuruga muungano wa vita dhidi ya ugaidi wa Iran, Russia na Uturuki

    Jan 13, 2018 04:09

    Nchi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki zina muungano ambao si tu kuwa umeweza kufanikiwa katika medani ya vita dhidi ya ugaidi, bali pia katika mazungumzo ya kidiplomasia, muungano huo umeweza kuibua mabadiliko katika masuala yanayohusiana na tatizo la ugaidi.

  • Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama

    Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama

    Jan 13, 2018 00:15

    Uturuki imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri nchini Marekani kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.

  • Uturuki: Fitina ya kuigawa Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa na Ankara, Tehran na Baghdad

    Uturuki: Fitina ya kuigawa Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa na Ankara, Tehran na Baghdad

    Jan 12, 2018 04:18

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Süleyman Soylu amesema kuwa, fitina iliyokuwa imeratibiwa na baadhi ya madola yenye nguvu kwa ajili ya kuligawa eneo la Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa kwa ushirikiano chanya wa Ankara, Tehran na Baghdad.

  • Erdoğan: Tutakabiliana na Marekani baada ya kukataa kumrejesha Gülen

    Erdoğan: Tutakabiliana na Marekani baada ya kukataa kumrejesha Gülen

    Jan 12, 2018 01:03

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa Marekani itaendelea kukataa ombi la Ankara la kumrejesha nyumbani Fethullah Gülen ambaye anatafutwa na Uturuki, basi nchi hiyo nayo italazimika kuchukua hatua za kukabiliana na Washington.

  • Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Jan 06, 2018 04:13

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Waturuki wamechoka kusubiri kujua iwapo nchi yao itajumuishwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au la.

  • Rais Erdoğan azionya Marekani na Israel kuhusiana na kadhia ya Quds

    Rais Erdoğan azionya Marekani na Israel kuhusiana na kadhia ya Quds

    Dec 31, 2017 00:01

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amezionya serikali ya Marekani na utawala wa Kizayuni juu ya hatua zao za kuchukua maamuzi dhidi ya mji wa Quds (Jerusalem).

  • Radiamali ya Cairo kwa hatua ya Uturuki ya kukurubia mipaka ya Misri

    Radiamali ya Cairo kwa hatua ya Uturuki ya kukurubia mipaka ya Misri

    Dec 29, 2017 01:00

    Afisa wa zamani katika jeshi la Misri amesema kuwa Cairo iko tayari kujibu tishio kuhusu hatua ya Sudan ya kuipatia Uturuki kisiwa cha Suakin.

  • Uturuki kuujenga upya mji 'wake' wa kale wa bandari huko Sudan

    Uturuki kuujenga upya mji 'wake' wa kale wa bandari huko Sudan

    Dec 27, 2017 12:17

    Sudan imesema kuwa Uturuki itaujenga upya mji wa bandari ulioharibiwa wakati wa zama za Othmaniya unaopatikana katika Ukanda wa pwani ya Sudan huko katika Bahari Nyekundu, ikiwa ni katika juhudi za Ankara za kupanua mahusiano yake ya kijeshi na kiuchumi barani Afrika.

  • Uturuki na Sudan zakubaliana kuimarisha uhusiano kati ya pande mbili

    Uturuki na Sudan zakubaliana kuimarisha uhusiano kati ya pande mbili

    Dec 25, 2017 11:26

    Uturuki na Sudan zimekubaliana kuanzisha baraza la ushirikiano wa kistratejia na kuzidisha mahusiano ya kibiashara kati ya nchi mbili hizo kufuatia ziara ya kihistoria iliyofanywa na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Khartoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS