-
Iran, Russia, Uturuki zakutana kujadili kadhia ya Syria
Jan 20, 2018 12:12Msaidizi wa ngazi za juu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala maalumu ya kisiasa, mwakilishi maalumu wa Rais wa Russia katika masuala ya Syria na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki wamekutana leo mjini Sochi, Russia kuzungumzia utatuzi wa mgogoro wa Syria.
-
Njama za kuvuruga muungano wa vita dhidi ya ugaidi wa Iran, Russia na Uturuki
Jan 13, 2018 04:09Nchi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki zina muungano ambao si tu kuwa umeweza kufanikiwa katika medani ya vita dhidi ya ugaidi, bali pia katika mazungumzo ya kidiplomasia, muungano huo umeweza kuibua mabadiliko katika masuala yanayohusiana na tatizo la ugaidi.
-
Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama
Jan 13, 2018 00:15Uturuki imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri nchini Marekani kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.
-
Uturuki: Fitina ya kuigawa Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa na Ankara, Tehran na Baghdad
Jan 12, 2018 04:18Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Süleyman Soylu amesema kuwa, fitina iliyokuwa imeratibiwa na baadhi ya madola yenye nguvu kwa ajili ya kuligawa eneo la Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa kwa ushirikiano chanya wa Ankara, Tehran na Baghdad.
-
Erdoğan: Tutakabiliana na Marekani baada ya kukataa kumrejesha Gülen
Jan 12, 2018 01:03Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa Marekani itaendelea kukataa ombi la Ankara la kumrejesha nyumbani Fethullah Gülen ambaye anatafutwa na Uturuki, basi nchi hiyo nayo italazimika kuchukua hatua za kukabiliana na Washington.
-
Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU
Jan 06, 2018 04:13Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Waturuki wamechoka kusubiri kujua iwapo nchi yao itajumuishwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au la.
-
Rais Erdoğan azionya Marekani na Israel kuhusiana na kadhia ya Quds
Dec 31, 2017 00:01Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amezionya serikali ya Marekani na utawala wa Kizayuni juu ya hatua zao za kuchukua maamuzi dhidi ya mji wa Quds (Jerusalem).
-
Radiamali ya Cairo kwa hatua ya Uturuki ya kukurubia mipaka ya Misri
Dec 29, 2017 01:00Afisa wa zamani katika jeshi la Misri amesema kuwa Cairo iko tayari kujibu tishio kuhusu hatua ya Sudan ya kuipatia Uturuki kisiwa cha Suakin.
-
Uturuki kuujenga upya mji 'wake' wa kale wa bandari huko Sudan
Dec 27, 2017 12:17Sudan imesema kuwa Uturuki itaujenga upya mji wa bandari ulioharibiwa wakati wa zama za Othmaniya unaopatikana katika Ukanda wa pwani ya Sudan huko katika Bahari Nyekundu, ikiwa ni katika juhudi za Ankara za kupanua mahusiano yake ya kijeshi na kiuchumi barani Afrika.
-
Uturuki na Sudan zakubaliana kuimarisha uhusiano kati ya pande mbili
Dec 25, 2017 11:26Uturuki na Sudan zimekubaliana kuanzisha baraza la ushirikiano wa kistratejia na kuzidisha mahusiano ya kibiashara kati ya nchi mbili hizo kufuatia ziara ya kihistoria iliyofanywa na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Khartoum.