Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Iran: Marekani na Israel lazima ziwajibishwe kwa mauaji ya kimbari ya Ghaza

    Iran: Marekani na Israel lazima ziwajibishwe kwa mauaji ya kimbari ya Ghaza

    Jun 10, 2024 04:37

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshindwa katika vita vyao dhidi ya Ukanda wa Ghaza uliozingirwa na lazima ziwajibishwe kwa mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.

  • Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Jun 09, 2024 06:33

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni mojawapo ya nchi ambazo zimepaza "sauti kubwa zaidi" dhidi ya jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Jun 03, 2024 07:57

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine amemshambulia vikali kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu na kumtaja kama mtu mwenye kiu ya kumwaga na kufyonza damu.

  • Mawaziri wa Iran na Uturuki wajadili jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza

    Mawaziri wa Iran na Uturuki wajadili jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza

    Jun 02, 2024 05:55

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Uturuki wamefanya mazungumzo na kujadili hali ya mambo huko Palestina hususan jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Serikali ya Slovenia yaidhinisha hoja ya kuitambua nchi huru ya Palestina

    Serikali ya Slovenia yaidhinisha hoja ya kuitambua nchi huru ya Palestina

    May 31, 2024 06:28

    Vyombo vya habari vya Slovenia vimetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo imeidhinisha hoja ya kuitambua Palestina kuwa ni nchi rasmi na huru.

  • Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel

    May 21, 2024 09:02

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametilia mkazo kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Iran yapongeza uamuzi wa Uturuki kukata uhusiano wa kibiashara na utawala wa Israel

    Iran yapongeza uamuzi wa Uturuki kukata uhusiano wa kibiashara na utawala wa Israel

    May 05, 2024 08:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza uamuzi wa serikali ya Uturuki wa kukata uhusiano wa kiuchumi na kibiashara na utawala wa Kizayuni wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.

  • Hakan Fidan: Uturuki itaomba kujiunga katika kesi ya mauaji ya kimbari inayoikabili Israel huko ICJ

    Hakan Fidan: Uturuki itaomba kujiunga katika kesi ya mauaji ya kimbari inayoikabili Israel huko ICJ

    May 01, 2024 23:06

    Hakan Fidan Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa nchi hiyo itaomba kuwa sehemu ya kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya Israel. Itakumbukwa kuwa serikali ya Afrika Kusini imefungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mauaji yake ya kimbari huko Gaza.

  • Rais wa Uturuki: Israel imempiku Hitler kwa kuua watoto 14,000 wasio na hatia Ghaza

    Rais wa Uturuki: Israel imempiku Hitler kwa kuua watoto 14,000 wasio na hatia Ghaza

    Apr 17, 2024 07:41

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, Israel tayari imempiku kiongozi wa Wanazi Adolf Hitler kwa kuua zaidi ya watoto 14,000 wasio na hatia katika Ukanda wa Ghaza.

  • Katika barua kwa Papa, Erdogan ataka Ubinadamu ukomeshe ukiukaji zaidi wa sheria unaofanywa Ghaza

    Katika barua kwa Papa, Erdogan ataka Ubinadamu ukomeshe ukiukaji zaidi wa sheria unaofanywa Ghaza

    Apr 13, 2024 23:02

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametoa wito kwa watu duniani kote kuzungumza dhidi ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya hospitali, skuli, misikiti na makanisa katika Ukanda wa Ghaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS