Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • HRW yakosoa wimbi jipya la kamata kamata dhidi ya wapinzani Saudia

    HRW yakosoa wimbi jipya la kamata kamata dhidi ya wapinzani Saudia

    Sep 15, 2017 23:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali wimbi jipya la kamata kamata inayofanywa na maafisa usalama wa Saudi Arabia dhidi ya wapinzani na wakosoaji wake wakiwemo wanazuoni.

  •  Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Aug 09, 2017 14:08

    Tarehe 23 Disemba mwaka 1994 Umoja wa Mataifa uliitangaza tarehe 9 Agosti kila mwaka kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Watu wa Asili (Indigenous). Siku hiyo ilitangazwa rasmi ili kukumbuka na kutetea haki za zaidi ya watu milioni 370 wa asili katika nchi 90 duniani.

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 28, 2017 06:45

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya sita ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 23, 2017 02:24

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tano ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • HRW yasikitishwa na hatua ya UNESCO ya kufanya kikao Saudia

    HRW yasikitishwa na hatua ya UNESCO ya kufanya kikao Saudia

    May 10, 2017 09:33

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, limesikitishwa na hatua ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ya kufanya kongamano la kimataifa la asasi zisizo za kiserikali huko nchini Saudi Arabia.

  • UN, US na EU zatakiwa kukomesha jinai za Bahrain dhidi ya Sheikh Qassim

    UN, US na EU zatakiwa kukomesha jinai za Bahrain dhidi ya Sheikh Qassim

    May 05, 2017 09:12

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Bahrain na kimataifa yameziandikia barua Marekani, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya yakizitaka ziishinikize serikali ya Manama kukomesha jinai zake dhidi ya Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa ngazi ya juu wa nchi hiyo ambaye alivuliwa uraia wa Bahrain Juni 20 mwaka jana 2016.

  • HRW yaitaka US iishinikize Sudan ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu

    HRW yaitaka US iishinikize Sudan ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu

    May 04, 2017 03:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Marekani iishinikize Sudan ikomeshe uvunjaji wa haki za binadamu.

  • Utawala haramu wa Israel hauna nafasi aktika mustakabali wa Mashariki ya Kati

    Utawala haramu wa Israel hauna nafasi aktika mustakabali wa Mashariki ya Kati

    Apr 28, 2017 10:10

    Katibu Mkuu wa Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema: "Maadui hatimaye watasalimu amri kuhusu utatuzi wa kisiasa wa kadhia ya Syria na kwa yakini utawala haramu na wa kigaidi wa Israel hauna nafasi katika mustakabali wa Mashariki ya Kati."

  • UN yashangazwa na wito wa Trump wa kuwatesa na kuwanyanyasa washukiwa

    UN yashangazwa na wito wa Trump wa kuwatesa na kuwanyanyasa washukiwa

    Apr 07, 2017 02:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka kurejeshwa sheria ya kuwatesa watuhumiwa wa jinai mbalimbali.

  • UN yalalamikia ongezeko kubwa la uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    UN yalalamikia ongezeko kubwa la uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Mar 23, 2017 03:31

    Mjumbe wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amelalamikia vikali ongezeko la uvunjaji wa haki za binadamu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS