-
Maduro: Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN ni 'saratani na kikaragosi cha Marekani'
Mar 10, 2018 04:24Rais wa Venezuela amemtaja Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kama saratani na kikaragosi cha Marekani.
-
Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani
Feb 24, 2018 10:48Harakati ya Urafiki na Mshikamano wa Cuba na Venezuela imesisitiza kuhusu muungano wa nchi hizo mbili katika kukabiliana na chokochoko za uingiliaji wa Marekani.
-
Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani
Jan 29, 2018 03:23Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.
-
Kuendelea hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela
Jan 07, 2018 09:20Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amekosoa vikali kuendelea siasa za uhasama za serikali ya Marekani dhidi ya nchi yake.
-
Marais wa nchi za Amerika ya Latini wakipongeza chama tawala Venezuela kwa kuwashinda wapinzani marafiki wa Magharibi
Oct 16, 2017 13:07Marais wa nchi za Bolivia, Nicaragua na Cuba sambamba na kukaribisha ushindi wa chama tawala cha Kisosholisti nchini Venezuela kwa kuibuka mshindi katika uchanguzi wa magavana wa majimbo ya nchi hiyo uliofanyika Jumapili ya jana, wamefurahishwa pia na umoja na mshikamano wa Wavenezuela dhidi ya njama za Wamagharibi.
-
Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya
Oct 15, 2017 07:45Viongozi wa serikali ya Venezuela wamekosoa vikali juhudi za Umoja wa Ulaya na Marekani za kutaka kuufanya uchaguzi wa kieneo nchini humo kutokuwa na itibari.
-
Rais wa Venezuela amkejeli Trump, asema amemfanya mashuhuri
Oct 09, 2017 04:34Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametumia kinaya kumkejeli Donald Trump na kusema kuwa rais huyo wa Marekani amemfanya awe shakhsia maarufu duniani.
-
Venezuela: Marekani inafanya 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi yetu
Sep 26, 2017 04:12Venezuela imesema Marekani inaendeleza kile ilichokitaja 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
-
Rais Evo Morales: Rais Donald Trump wa Marekani ameipigia magoti serikali ya Venezuela
Sep 18, 2017 02:56Rais Evo Morales wa Bolivia amesema kuwa, hatimaye Marekani imepiga magoti na kusalimu amri mbele ya serikali ya Venezuela kwa kukubali kufanyika mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump
Aug 15, 2017 03:05Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameliagiza jeshi la nchi hiyo kufanya luteka ya nchi nzima ikiwa ni radiamali kwa vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani aliyesema kuwa chaguo la kuishambulia kijeshi nchi hiyo lipo mezani.