Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Somalia yakataa

    Somalia yakataa "rushwa" ya Saudia, yagoma kujiunga na nchi zinazoisusia Qatar

    Aug 30, 2017 22:23

    Rais wa Somalia amekataa pendekezo la kupewa Euro milioni 68 lililotolewa na utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia mkabala wa kujiunga na muungano wa nchi zilizokata uhusiano wao na kuisusia Qatar.

  • Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia

    Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia

    Aug 10, 2017 23:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel amesema kuhusu vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia kwamba, hatua mpya za Marekani za kutaka kuibana zaidi Russia zinaweza kusababisha matatizo katika umoja wa nchi za Magharibi kuhusu mgogoro wa Ukraine.

  • Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Aug 06, 2017 23:14

    Umoja wa Ulaya umeanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Russia kuhusiana na mzozo wa peninsula ya Crimea.

  • Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA

    Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA

    Aug 03, 2017 02:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kusaini sheria ya vikwazo vipya dhidi ya Tehran ni njama ya Washington ya kutaka kusambaratisha makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Trump asaini mswada wa vikwazo dhidi ya Iran, Russia na Korea Kaskazini

    Trump asaini mswada wa vikwazo dhidi ya Iran, Russia na Korea Kaskazini

    Aug 02, 2017 22:04

    Rais Donald Trump wa Marekani amesaini kuwa sheria mpango wa vikwazo uliopitishwa na Bunge la Wawakilishi na Seneti ya nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Korea Kaskazini.

  • Nchi nne za Kiarabu zang'ang'ania msimamo wao wa kuendeleza vikwazo dhidi ya Qatar

    Nchi nne za Kiarabu zang'ang'ania msimamo wao wa kuendeleza vikwazo dhidi ya Qatar

    Jul 30, 2017 23:57

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu zilizovunja uhusiano wa kidiplomasia na Qatar na kuiwekea vikwazo nchi hiyo wametoa taarifa wakitilia mkazo misimamo ya hapo kabla ya nchi hizo na kuendelezwa vikwazo dhidi ya Doha.

  • Russia yajibu Marekani, yapunguza idadi ya wanadiplomasia wa Marekani na kuzuia mali zao

    Russia yajibu Marekani, yapunguza idadi ya wanadiplomasia wa Marekani na kuzuia mali zao

    Jul 28, 2017 21:51

    Katika kujibu hatua ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia, serikali ya Moscow imetoa amri ya kupunguzwa idadi ya wanadiplomasia wa nchi hiyo nchini humo sambamba na kuzuia baadhi ya mali za kidiplomasia za maafisa hao.

  • Syria yakosoa kuendelezwa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi yake

    Syria yakosoa kuendelezwa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi yake

    Jul 28, 2017 21:51

    Bashar Jaafari, Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amelaani mwendelezo wa vikwazo vya kidhalimu vya nchi za Magharibi dhidi yake na kusema kwamba vikwazo hivyo vimelemaza kabisa shughuli za mashirika ya misaada ya kibinadamu nchini humo.

  • Kamal Kharrazi: Hatua za kihasama za Marekani dhidi ya Iran si jambo jipya

    Kamal Kharrazi: Hatua za kihasama za Marekani dhidi ya Iran si jambo jipya

    Jul 28, 2017 02:59

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema: Hatua za kihasama za Rais wa Marekani dhidi ya Iran ni siasa zilizoanza tangu mwaka 1979 wakati wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na zinaendelea hadi sasa.

  • Dakta Larijani: Iran imejiandaa kukabiliana na vikwazo vipya vya Marekani

    Dakta Larijani: Iran imejiandaa kukabiliana na vikwazo vipya vya Marekani

    Jul 27, 2017 23:03

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran imejiandaa kikamilifu kukabiliana na vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS