Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Rais Hassan Rouhani: Iran itatoa jibu kali kwa Marekani

    Rais Hassan Rouhani: Iran itatoa jibu kali kwa Marekani

    Jul 26, 2017 09:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua ya Marekani ya kupasishwa vikwazo vipya dhidi ya taifa hili.

  • Nchi nne za Kiarabu zashadidisha vikwazo vyao dhidi ya Qatar

    Nchi nne za Kiarabu zashadidisha vikwazo vyao dhidi ya Qatar

    Jul 25, 2017 09:46

    Nchi nne za Kiarabu zilizovunja uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar na kuiwekea vikwazo nchi hiyo ya Kiarabu leo zimetoa orodha mpya ya majina ya taasisi na shakhsia zinaodai kuwa wana mfungamano na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Qatar.

  • Russia yalaani hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran

    Russia yalaani hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran

    Jul 21, 2017 03:14

    Mkuu wa Idara ya Kuzuia na Kudhibiti Silaha iliyo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Mikhail Ulyanov amelaani hatua ya kiuhasama ya Marekani katika kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vipya na kusema kuwa, vikwazo hivyo havijazingatia sheria zozote zile.

  • Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya Marekani na maadui wengine

    Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya Marekani na maadui wengine

    Jul 01, 2017 09:03

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya maadui na kwamba nchi hii itatoa jibu kali kwa vitisho vyovyote vile.

  • Qatar yasusia bidhaa za nchi nne za Kiarabu

    Qatar yasusia bidhaa za nchi nne za Kiarabu

    Jul 01, 2017 02:49

    Wananchi wa Qatar wamesusia bidhaa za nchi nne za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri baada ya nchi hizo kuendeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya nchi yao.

  • Brigedia Jenerali Jazayeri: Iran ina njia ya kuiadhibu Marekani

    Brigedia Jenerali Jazayeri: Iran ina njia ya kuiadhibu Marekani

    Jun 18, 2017 23:08

    Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran ina namna na njia ya kuiadhibu Washington baada ya Bunge la Seneti la Marekani kupasisha vikwazo vipya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC kwa madai yasiyo na msingi ya ugaidi.

  • Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo

    Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo

    Jun 17, 2017 11:06

    Mgogoro ulioanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Qatar umechukua sura mpya baada ya mtandao mmoja wa habari wa nchini Uingereza kuandika kuwa, rais wa Misri ametaka Uturuki iwekewe vikwazo kutokana na kuiunga mkono Qatar.

  • Seneti ya Marekani yaakhirisha kura kuhusu vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Seneti ya Marekani yaakhirisha kura kuhusu vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Jun 09, 2017 03:32

    Seneti ya Marekani imeakhirisha kuupigia kura mpango wa vikwazo vipya vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi Jumatatu tarehe 12 mwezi huu.

  • Kuongezwa muda wa vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Syria

    Kuongezwa muda wa vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Syria

    May 31, 2017 03:40

    Umoja wa Ulaya ukiendeleza siasa zake za chuki na uadui dhidi ya serikali halali ya Syria, umeongeza muda wa vikwazo vyake dhidi ya nchi hiyo.

  • Iran yawawekea vikwazo Wamarekani kujibu uchokozi wa dola hilo la kibeberu

    Iran yawawekea vikwazo Wamarekani kujibu uchokozi wa dola hilo la kibeberu

    May 18, 2017 09:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeongeza idadi ya watu na mashirika ya Marekani katika orodha ya vikwazo vyake ikiwa ni kujibu hatua kama hiyo iliyochukuliwa na Marekani dhidi ya Iran. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS