-
Rais Hassan Rouhani: Iran itatoa jibu kali kwa Marekani
Jul 26, 2017 09:23Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua ya Marekani ya kupasishwa vikwazo vipya dhidi ya taifa hili.
-
Nchi nne za Kiarabu zashadidisha vikwazo vyao dhidi ya Qatar
Jul 25, 2017 09:46Nchi nne za Kiarabu zilizovunja uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar na kuiwekea vikwazo nchi hiyo ya Kiarabu leo zimetoa orodha mpya ya majina ya taasisi na shakhsia zinaodai kuwa wana mfungamano na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Qatar.
-
Russia yalaani hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran
Jul 21, 2017 03:14Mkuu wa Idara ya Kuzuia na Kudhibiti Silaha iliyo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Mikhail Ulyanov amelaani hatua ya kiuhasama ya Marekani katika kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vipya na kusema kuwa, vikwazo hivyo havijazingatia sheria zozote zile.
-
Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya Marekani na maadui wengine
Jul 01, 2017 09:03Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya maadui na kwamba nchi hii itatoa jibu kali kwa vitisho vyovyote vile.
-
Qatar yasusia bidhaa za nchi nne za Kiarabu
Jul 01, 2017 02:49Wananchi wa Qatar wamesusia bidhaa za nchi nne za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri baada ya nchi hizo kuendeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya nchi yao.
-
Brigedia Jenerali Jazayeri: Iran ina njia ya kuiadhibu Marekani
Jun 18, 2017 23:08Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran ina namna na njia ya kuiadhibu Washington baada ya Bunge la Seneti la Marekani kupasisha vikwazo vipya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC kwa madai yasiyo na msingi ya ugaidi.
-
Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo
Jun 17, 2017 11:06Mgogoro ulioanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Qatar umechukua sura mpya baada ya mtandao mmoja wa habari wa nchini Uingereza kuandika kuwa, rais wa Misri ametaka Uturuki iwekewe vikwazo kutokana na kuiunga mkono Qatar.
-
Seneti ya Marekani yaakhirisha kura kuhusu vikwazo vipya dhidi ya Iran
Jun 09, 2017 03:32Seneti ya Marekani imeakhirisha kuupigia kura mpango wa vikwazo vipya vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi Jumatatu tarehe 12 mwezi huu.
-
Kuongezwa muda wa vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Syria
May 31, 2017 03:40Umoja wa Ulaya ukiendeleza siasa zake za chuki na uadui dhidi ya serikali halali ya Syria, umeongeza muda wa vikwazo vyake dhidi ya nchi hiyo.
-
Iran yawawekea vikwazo Wamarekani kujibu uchokozi wa dola hilo la kibeberu
May 18, 2017 09:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeongeza idadi ya watu na mashirika ya Marekani katika orodha ya vikwazo vyake ikiwa ni kujibu hatua kama hiyo iliyochukuliwa na Marekani dhidi ya Iran.