-
Kamanda wa IRGC: Iran haitaki vita, lakini pia haiogopi vita
May 19, 2019 10:00Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hussein Salami amesema kuwa Iran haitaki vita lakini pia wakati huo huo haiogopi vita.
-
Iran yasema vita havitaibuka katika eneo
May 19, 2019 03:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema hakuna vita vitakavyoibuka Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) pamoja na kuwepo hali ya taharuki baina ya Iran na Marekani.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran haitaingia vitani wala kufanya mazungumzo na Marekani
May 14, 2019 23:28Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amefutilia mbali uwezekano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuingia vitani na Marekani licha ya kushtadi taharuki baina ya pande mbili na kusisitiza kuwa, Washington inafahamu vyema kuwa, kuingia katika vita na Tehran hakutakuwa na maslahi yoyote kwake.
-
Kuendelea vita nchini Libya; kuzidi kuwa mbaya hali ya mambo katika mji mkuu Tripoli
Apr 30, 2019 22:01Kuendelea vita na mapigano katika mji mkuu wa Libya Tripoli kumeifanya hali ya kibinadamu katika mji huo izidi kuwa mbaya siku baada ya siku.
-
Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen
Apr 29, 2019 23:32Tokea mwezi Machi 2015 Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, zimekuwa zikiendesha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen. Marekani na Uingereza pia zimekuwa na mchango mkubwa katika vita hivyo kwa kuzipa nchi mbili hizo za Kiarabu msaada mkubwa wa kilojistiki, habari za siri na kijeshi.
-
Papa azilaumu Marekani na Ulaya kwa mauaji ya watu katika maeneo ya vita
Apr 07, 2019 02:20Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema mashindano ya kuuza silaha yanayofanywa na Marekani na nchi za Magharibi ndiyo sababu ya mauji ya watu wakiwemo watoto wadogo katika nchi zinazoshuhudia vita katika kona mbalimbali duniani.
-
Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya
Apr 06, 2019 21:47Katika hali ambayo, jamii ya kimataifa ilikuwa imeelekeza macho na masikio yake katika mkutano wa "mazungumzo ya kitaifa ya Libya" kwa ajili ya kufikia utatuzi wa kisiasa na kuvuka kipindi cha mgogoro wa sasa, mashambulio ya vikosi vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar na kusonga mbele kuelekea mji mkuu Tripoli, yameitumbukiza nchi hiyo katika kipindi kipya cha mgogoro.
-
Vita katika nchi za Kiarabu vyagharimu dola bilioni 900
Mar 14, 2019 04:44Benki ya Dunia imekadiria gharama ya kuendeshea vita katika nchi za Kiarabu katika miaka minane iliyopita kuwa dola bilioni 900.
-
Zarif: Kuanzisha vita dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi
Feb 15, 2019 21:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa jitihada za aina yoyote za kutaka kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi na kujinyonga.
-
Wanaharakati 3000 wataka kususiwa mkutano dhidi ya Iran huko Poland
Jan 17, 2019 12:47Wanaharakati 3000 wanaopinga vita huko Marekani na katika nchi nyingine duniani wametia saini hati inayozitaka nchi za Ulaya kususia mkutano wa kuipiga vita Iran uliopangwa kufanyika nchini Poland.