Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Kuongezeka umasikini Israel, matokeo ya siasa za kupenda vita za baraza la mawaziri la Netanyahu

    Kuongezeka umasikini Israel, matokeo ya siasa za kupenda vita za baraza la mawaziri la Netanyahu

    Jun 01, 2017 03:38

    Katika hali ambayo vituo vya utafiti vimeelezea kuwepo ongezeko la umasikini huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, bado linaendelea na siasa zake za kupenda vita.

  • The Guardian: Hakuna anayeweza kudhibiti tabia za kimabavu za Trump

    The Guardian: Hakuna anayeweza kudhibiti tabia za kimabavu za Trump

    Apr 14, 2017 22:00

    Gazeti la The Guradian linalochapishwa Uingereza limekosoa shambulio la kombora la Marekani dhidi ya Syria na udondoshaji wake wa bomu la 'mama wa mabomu yote' nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa "hakuna mtu awezaye kumdhibiti Rais Donald Trump wa Marekani."

  • Wamarekani waandamana kupinga mashambulizi ya nchi hiyo dhidi ya Syria

    Wamarekani waandamana kupinga mashambulizi ya nchi hiyo dhidi ya Syria

    Apr 08, 2017 11:21

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakipinga sera za kupenda vita na ubabe za serikali ya Rais mpya wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Kwa mara ya kwanza, ICC kuwalipa fidia wahanga wa jinai za kivita Kongo

    Kwa mara ya kwanza, ICC kuwalipa fidia wahanga wa jinai za kivita Kongo

    Mar 24, 2017 12:01

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ( ICC) leo Ijumaa imeamuru kuwa kila mmoja kati ya wahanga 297 wa Germain Katanga, mbabe wa zamani wa kivita wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alipwe fidia ya dola 250 kutokana na mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa kijijini kwao mwaka 2003.

  • Mapambano ya wasimamia amani wa UN na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mapambano ya wasimamia amani wa UN na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 28, 2017 10:16

    Mapigano na mashambulio ya makundi ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yangali yanaendelea kushuhudiwa.

  • Theresa May: Siasa za Uingereza, US za kuingilia masuala ya nchi nyingine zimefeli

    Theresa May: Siasa za Uingereza, US za kuingilia masuala ya nchi nyingine zimefeli

    Jan 27, 2017 04:42

    Waziri Mkuu wa Uingereza amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya nchi zinazojitawala na ametoa wito wa kukomeshwa suala hilo.

  • Wamagharibi: Uwezekano wa kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia ni mkubwa

    Wamagharibi: Uwezekano wa kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia ni mkubwa

    Jan 07, 2017 23:42

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa kwenye nchi za Magharibi unaonesha kuwa, watu wengi wa nchi hizo wanaamini kwamba Vita vya Tatu vya Dunia vimekaribia na kwamba mapigano makali ya pande zote yanaijongelea dunia hivi sasa.

  • "Yumkini Marekani na Russia zikaingia vitani ndani ya siku 20 zijazo"

    Jan 01, 2017 04:30

    Marekani ipo katika ncha ya kungia kwenye vita na Russia katika kipindi cha siku 20 zijazo.

  • Kuundwa kamati ya mazungumzo ya kitaifa; hatua moja mbele ya kurejesha amani na utulivu Sudan Kusini

    Kuundwa kamati ya mazungumzo ya kitaifa; hatua moja mbele ya kurejesha amani na utulivu Sudan Kusini

    Dec 24, 2016 00:16

    Kuendelea mgogoro nchini Sudan Kusini, kuongezeka machafuko na wahanga wa machafuko hayo kwa upande mmoja, na kwa upande mwingine, kufanyika juhudi kieneo na kimataifa za kukomesha mauaji nchini humo, vimemfanya Rais Salva Kiir achukue hatua ya kuunda "Kamati ya Mazungumzo ya Kitaifa" kwa lengo la kuhitimisha mgogoro huo.

  • Iran kuwatibu waliojeruhiwa katika hujuma ya kinyama ya Saudia nchini Yemen

    Iran kuwatibu waliojeruhiwa katika hujuma ya kinyama ya Saudia nchini Yemen

    Oct 11, 2016 23:58

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema iko tayari kuwapokea na kuwatibu waliojeruhiwa hivi karibuni katika hujuma ya kikatili ya ndege za kivita za Saudia dhidi ya watu waliokuwa wamekusanyika katika mazishi nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS