-
Watoto ni waathirika wa hujuma ya Saudia na waitifaki wake nchini Yemen
Oct 06, 2016 04:06Hujuma za ndege za kivita za Saudi Arabia na waitifake wake Yemen, mbali na kuwaua maelfu ya raia wa nchi hiyo na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola kwa miundo mbinu ya nchi hiyo, pia zimesababisha zaidi ya watoto milioni mbili Wayemen kukosa masomo.
-
Amani na Usalama katika Mtazamo wa Uislamu
Sep 25, 2016 09:28Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi cha wiki hii cha Makala ya Wiki ambacho kitazungumzia usalama na amani katika mtazamo wa Uislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani.
-
UN yalaani hujuma za Saudia dhidi ya makazi ya raia magharibi mwa Yemen
Sep 23, 2016 10:46Umoja wa Mataifa umelaani hujuma ya ndege za Saudi dhidi ya makazi ya raia magharibi mwa Yemen na katika mkoa wa pwani wa Hudaydah ambapo idadi kubwa ya raia wameuawa.
-
Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen
Sep 15, 2016 03:08Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumatano asubuhi ziliendelea kudondosha mabomu katika maeneo ya raia nchini Yemen kwa kushambulia eneo la Aal Aqab katika mji wa Sahar katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko
Sep 09, 2016 08:49Umoja wa Mataifa umesema kuwa, jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.
-
UNICEF: Watoto milioni 50 wamekimbia makwao duniani
Sep 07, 2016 09:02Karibu watoto milioni 50 duniani wamekimbia makazi yao, zaidi ya nusu ya idadi hiyo ikiwa ni kutokana na mizozo na mapigano kwenye nchi zao.
-
Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani
Jun 20, 2016 00:54Wabunge nchini Italia wamepinga hatua ya Umoja wa Mataifa kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya nchi zinazoongoza katika ukatili na mauaji ya watoto duniani.
-
Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen
Jun 18, 2016 08:40Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.
-
Iran iko tayari kwa vita vya muda mrefu na Marekani
Jun 04, 2016 00:08Kamanda mwandamizi wa kijeshi Iran amesema, Tehran iko tayari kwa vita vigumu na Marekani.
-
Ansarullah yafichua mpango wa Saudia wa kuanzisha mashambulio makubwa ndani ya Yemen
May 03, 2016 12:00Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umejiandaa kufanya mashambulio makubwa katika maeneo mbalimbali ya Yemen.