Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni

    Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni

    Apr 17, 2017 03:42

    Waislamu wa mji wa Baltimore, nchini Marekani wamefanya kongamano la 42 la kila mwaka la Waislamu wa nchi hiyo kwa kushiriki Waislamu elfu 20 kutoka maeneo mbalimbali ya taifa hilo.

  • Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria

    Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria

    Apr 08, 2017 03:03

    Jeshi la Myanmar limetumia mabuldoza kuubomoa kikamilifu msikiti wa kihistoria katika mkoa wa Waislamu wa Rakhine nchini humo.

  • Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab

    Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab

    Apr 01, 2017 23:36

    Serikali ya China imepiga marufuku wanaume Waislamu kufuga ndevu ndefu na wanawake Waislamu kuvaa niqabu katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu karibu milioni 10 wa kabila la Uigur.

  • Ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu Austria

    Ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu Austria

    Mar 30, 2017 03:22

    Kumeshuhudiwa ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu nchini Austria mwaka 2016.

  • Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa

    Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa

    Mar 22, 2017 03:34

    Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kuwa asilimia 60 ya Waislamu nchini Marekani wamebaguliwa kwa njia moja au nyingine katika kipindi cha mwaka moja uliopita.

  • Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu

    Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu

    Mar 22, 2017 02:58

    Serikali ya Marekani jana Jumanne ilipiga marufuku wasafiri kutoka nchi 8 za Waislamu kuingia katika ndege zinazoelekea nchini humo wakiwa na zana za electroniki kubwa zaidi ya simu za kiganjani. Nchi hizo 8 za Waislamu ni Jordan, Misri, Uturuki, Saudi Arabia, Kuwait, Morocco, Qatar na Imarati.

  • Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Mar 17, 2017 00:27

    Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Waislamu walaani marufuku ya Hijabu katika mahakama ya EU

    Waislamu walaani marufuku ya Hijabu katika mahakama ya EU

    Mar 16, 2017 03:59

    Waislamu barani Ulaya wamelaani vikali hatua ya Mahakama ya Uadilifu ya Ulaya kutoa hukumu kuwa waajiri wanaweza kuwazuia wafanyakazi wa kike Waislamu kuvaa hijabu kazini.

  • Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa

    Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa

    Mar 10, 2017 10:30

    Bunge la Uswisi limekataa kupasisha muswada wa kupiga marufuku nchini humo vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.

  • Waislamu wa Marekani wasaidia kifedha kukarabati makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa

    Waislamu wa Marekani wasaidia kifedha kukarabati makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa

    Feb 23, 2017 00:15

    Waislamu nchini Marekani wamechangisha maelfu ya dola kusaidia ukarabati wa makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa katika jimbo la Missouri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS