-
Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni
Apr 17, 2017 03:42Waislamu wa mji wa Baltimore, nchini Marekani wamefanya kongamano la 42 la kila mwaka la Waislamu wa nchi hiyo kwa kushiriki Waislamu elfu 20 kutoka maeneo mbalimbali ya taifa hilo.
-
Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria
Apr 08, 2017 03:03Jeshi la Myanmar limetumia mabuldoza kuubomoa kikamilifu msikiti wa kihistoria katika mkoa wa Waislamu wa Rakhine nchini humo.
-
Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab
Apr 01, 2017 23:36Serikali ya China imepiga marufuku wanaume Waislamu kufuga ndevu ndefu na wanawake Waislamu kuvaa niqabu katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu karibu milioni 10 wa kabila la Uigur.
-
Ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu Austria
Mar 30, 2017 03:22Kumeshuhudiwa ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu nchini Austria mwaka 2016.
-
Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa
Mar 22, 2017 03:34Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kuwa asilimia 60 ya Waislamu nchini Marekani wamebaguliwa kwa njia moja au nyingine katika kipindi cha mwaka moja uliopita.
-
Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu
Mar 22, 2017 02:58Serikali ya Marekani jana Jumanne ilipiga marufuku wasafiri kutoka nchi 8 za Waislamu kuingia katika ndege zinazoelekea nchini humo wakiwa na zana za electroniki kubwa zaidi ya simu za kiganjani. Nchi hizo 8 za Waislamu ni Jordan, Misri, Uturuki, Saudi Arabia, Kuwait, Morocco, Qatar na Imarati.
-
Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani
Mar 17, 2017 00:27Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Waislamu walaani marufuku ya Hijabu katika mahakama ya EU
Mar 16, 2017 03:59Waislamu barani Ulaya wamelaani vikali hatua ya Mahakama ya Uadilifu ya Ulaya kutoa hukumu kuwa waajiri wanaweza kuwazuia wafanyakazi wa kike Waislamu kuvaa hijabu kazini.
-
Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa
Mar 10, 2017 10:30Bunge la Uswisi limekataa kupasisha muswada wa kupiga marufuku nchini humo vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.
-
Waislamu wa Marekani wasaidia kifedha kukarabati makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa
Feb 23, 2017 00:15Waislamu nchini Marekani wamechangisha maelfu ya dola kusaidia ukarabati wa makaburi ya Mayahudi yaliyobomolewa katika jimbo la Missouri.