Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 06, 2017 10:06

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya nne ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe

    HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe

    Apr 28, 2017 22:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeitaka serikali ya India ichukue hatua kuzuia mauaji yanayofanywa na Wahindu dhidi ya Waislamu kwa sababu tu wanachinja ng'ombe.

  • Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria

    Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria

    Apr 19, 2017 07:41

    Baada ya viongozi wa Nigeria kukataa kumuachilia huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Waislamu wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiliwa huru mwanaharakati huyo wa Kiislamu.

  • Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni

    Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni

    Apr 17, 2017 03:42

    Waislamu wa mji wa Baltimore, nchini Marekani wamefanya kongamano la 42 la kila mwaka la Waislamu wa nchi hiyo kwa kushiriki Waislamu elfu 20 kutoka maeneo mbalimbali ya taifa hilo.

  • Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria

    Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria

    Apr 08, 2017 03:03

    Jeshi la Myanmar limetumia mabuldoza kuubomoa kikamilifu msikiti wa kihistoria katika mkoa wa Waislamu wa Rakhine nchini humo.

  • Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab

    Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab

    Apr 01, 2017 23:36

    Serikali ya China imepiga marufuku wanaume Waislamu kufuga ndevu ndefu na wanawake Waislamu kuvaa niqabu katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu karibu milioni 10 wa kabila la Uigur.

  • Ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu Austria

    Ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu Austria

    Mar 30, 2017 03:22

    Kumeshuhudiwa ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu nchini Austria mwaka 2016.

  • Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa

    Asilimia 60 ya Waislamu Marekani wanabaguliwa

    Mar 22, 2017 03:34

    Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kuwa asilimia 60 ya Waislamu nchini Marekani wamebaguliwa kwa njia moja au nyingine katika kipindi cha mwaka moja uliopita.

  • Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu

    Marekani na Uingereza zawabana zaidi wasafiri kutoka nchi kadhaa za Waislamu

    Mar 22, 2017 02:58

    Serikali ya Marekani jana Jumanne ilipiga marufuku wasafiri kutoka nchi 8 za Waislamu kuingia katika ndege zinazoelekea nchini humo wakiwa na zana za electroniki kubwa zaidi ya simu za kiganjani. Nchi hizo 8 za Waislamu ni Jordan, Misri, Uturuki, Saudi Arabia, Kuwait, Morocco, Qatar na Imarati.

  • Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Mar 17, 2017 00:27

    Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS