-
Asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga kuzuiwa Waislamu kuingia US
Feb 21, 2017 10:48Matokeo ya utafiti wa maoni yanaonyesha kuwa asilimia kubwa ya raia wa Marekani wanapinga marufuku ya kuzuiwa Waislamu kuingia nchi hiyo.
-
Wamarekani walio wengi wapinga marufuku ya Waislamu kuingia nchini humo
Feb 19, 2017 10:25Uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonesha kuwa asilimia kubwa ya raia wa nchi hiyo wanapinga marufuku ya kuingia Waislamu nchini Marekani.
-
Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 19, 2017 04:13Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
-
Makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yaongezeka kwa kasi Marekani
Feb 17, 2017 23:10Idadi ya makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yameongezeka karibu mara tatu Marekani mwaka 2016 baada ya kuanza kampeni za urais za Donald Trump.
-
Jumatano, 8 Februari, 2017
Feb 08, 2017 00:06Leo ni Jumatano tarehe 10 Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na Februari 8, 2017.
-
Jeshi na polisi ya Myanmar zatenda jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu
Feb 07, 2017 04:07Shirika la Kutetea Haki za Binadamu limeripoti kuwa jeshi na polisi ya Myanmar zinaratibu jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu nchini humo.
-
Ayatullah Larijani: Maadui wanaogopa Iran kuwa kigezo kwa Waislamu bilioni moja
Feb 05, 2017 23:45Mkuu wa Idara ya Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa wahka na wasiwasi mkubwa wa maadui unatokana na kuiona Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa kigezo na ruwaza njema kwa Waislamu zaidi ya bilioni moja duniani.
-
Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu
Feb 05, 2017 23:12Serikali ya Kuwait imekadhibisha habari ya tetesi iliyoenea katika baadhi ya vyombo vya habari kwamba nchi hiyo imepiga marufuku raia wa nchi kadhaa za Kiislamu kuingia nchini humo.
-
Mwandishi habari Mmarekani awaomba radhi Waislamu kutokana na ubaguzi wa Trump
Feb 05, 2017 04:49Mwandishi habari maarufu nchini Marekani amewaomba radhi Waislamu wote duniani na kusema: "Wamarekani wanapaswa kusimama kidete dhidi ya watu wenye misimamo mikali."
-
Wanawake Waislamu Nigeria walaani kukandamizwa hijabu
Feb 02, 2017 10:31Muungano wa makundi ya wanawake kwa jina la "Hijab Rights Advocacy Initiative" wa nchini Nigeria jana ulilaani kile ulichokitaja kuwa kuendelea kukandamizwa wanawake wanaovaa vazi la stara la hijabu, na kulitaka bunge la nchi hiyo kubuni sheria ili kukomesha unyanyasaji huo wa wanawake wanaovaa hijabu.