Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga kuzuiwa Waislamu kuingia US

    Asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga kuzuiwa Waislamu kuingia US

    Feb 21, 2017 10:48

    Matokeo ya utafiti wa maoni yanaonyesha kuwa asilimia kubwa ya raia wa Marekani wanapinga marufuku ya kuzuiwa Waislamu kuingia nchi hiyo.

  • Wamarekani walio wengi wapinga marufuku ya Waislamu kuingia nchini humo

    Wamarekani walio wengi wapinga marufuku ya Waislamu kuingia nchini humo

    Feb 19, 2017 10:25

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonesha kuwa asilimia kubwa ya raia wa nchi hiyo wanapinga marufuku ya kuingia Waislamu nchini Marekani.

  • Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Feb 19, 2017 04:13

    Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.

  • Makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yaongezeka kwa kasi Marekani

    Makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yaongezeka kwa kasi Marekani

    Feb 17, 2017 23:10

    Idadi ya makundi yaliyo dhidi ya Waislamu yameongezeka karibu mara tatu Marekani mwaka 2016 baada ya kuanza kampeni za urais za Donald Trump.

  • Jumatano, 8 Februari, 2017

    Jumatano, 8 Februari, 2017

    Feb 08, 2017 00:06

    Leo ni Jumatano tarehe 10 Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na Februari 8, 2017.

  •  Jeshi na polisi ya Myanmar zatenda jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu

    Jeshi na polisi ya Myanmar zatenda jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu

    Feb 07, 2017 04:07

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu limeripoti kuwa jeshi na polisi ya Myanmar zinaratibu jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu nchini humo.

  • Ayatullah Larijani: Maadui wanaogopa Iran kuwa kigezo kwa Waislamu bilioni moja

    Ayatullah Larijani: Maadui wanaogopa Iran kuwa kigezo kwa Waislamu bilioni moja

    Feb 05, 2017 23:45

    Mkuu wa Idara ya Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa wahka na wasiwasi mkubwa wa maadui unatokana na kuiona Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa kigezo na ruwaza njema kwa Waislamu zaidi ya bilioni moja duniani.

  • Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu

    Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu

    Feb 05, 2017 23:12

    Serikali ya Kuwait imekadhibisha habari ya tetesi iliyoenea katika baadhi ya vyombo vya habari kwamba nchi hiyo imepiga marufuku raia wa nchi kadhaa za Kiislamu kuingia nchini humo.

  • Mwandishi habari Mmarekani awaomba radhi Waislamu kutokana na ubaguzi wa Trump

    Mwandishi habari Mmarekani awaomba radhi Waislamu kutokana na ubaguzi wa Trump

    Feb 05, 2017 04:49

    Mwandishi habari maarufu nchini Marekani amewaomba radhi Waislamu wote duniani na kusema: "Wamarekani wanapaswa kusimama kidete dhidi ya watu wenye misimamo mikali."

  • Wanawake Waislamu Nigeria walaani kukandamizwa hijabu

    Wanawake Waislamu Nigeria walaani kukandamizwa hijabu

    Feb 02, 2017 10:31

    Muungano wa makundi ya wanawake kwa jina la "Hijab Rights Advocacy Initiative" wa nchini Nigeria jana ulilaani kile ulichokitaja kuwa kuendelea kukandamizwa wanawake wanaovaa vazi la stara la hijabu, na kulitaka bunge la nchi hiyo kubuni sheria ili kukomesha unyanyasaji huo wa wanawake wanaovaa hijabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS