Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh

    Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh

    Feb 01, 2017 04:34

    Serikali ya Bangladesh imesisitiza kutekeleza mpango wa kuwapatia makazi wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya katika kisiwa cha Tangarchar katika Ghuba ya Bengal.

  • Hijabu ya Kiislamu yapigwa marufuku maeneo ya umma Austria

    Hijabu ya Kiislamu yapigwa marufuku maeneo ya umma Austria

    Feb 01, 2017 00:51

    Serikali ya Austria imechukua hatua ya kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa aina ya hijabu inayofunuka uso wote, yaani niqabu, katika maeneo yote ya umma nchini humo.

  • 5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    Jan 30, 2017 04:08

    Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.

  • Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani

    Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani

    Jan 29, 2017 10:15

    Hatua ya rais Donald Trump kuwazuia wahamiaji Waislamu kuingia nchini humo inaendelea kulaani na kukoslewa kote duniani na Marekani kwenywe.

  • Trump asaini amri ya kupiga marufuku Waislamu kuingia Marekani

    Trump asaini amri ya kupiga marufuku Waislamu kuingia Marekani

    Jan 28, 2017 00:49

    Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini amri ya kuwazuia Waislamu kuingia nchini humo ambapo hivi sasa kutakuwa na vizingiti kwa wahamiaji na wakimbizi kwa lengo la kuwazuia watu aliowataja kuwa, 'magaidi wa Kiislamu wenye misimamo mikali' kuingia katika nchi hiyo.

  • Ombi la kutaka uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu mauaji ya Waislamu nchini Myanmar

    Ombi la kutaka uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu mauaji ya Waislamu nchini Myanmar

    Jan 24, 2017 04:49

    Makundi 41 ya kiraia nchini Myanmar na Mashariki mwa Asia yametoa taarifa na kutaka uchunguzi huru wa kimataifa ufanyike kuhusu mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu za Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar ambao wanakandamizwa na serikali pamoja na mabudha wenye misimamo mikali nchini humo.

  • Sheikh Ikrima Sabri: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Baytul Muqaddas ni kutangaza vita dhidi ya Waislamu

    Sheikh Ikrima Sabri: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Baytul Muqaddas ni kutangaza vita dhidi ya Waislamu

    Jan 21, 2017 03:30

    Khatibu wa Masjidul Aqswa amesenma kuwa, kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv na kupelekwa Baytul Muqaddas kutakuwa ni sawa na kutangaza vita sio tu dhidi ya Wapalestina bali dhidi ya Waarabu na Waislamu wote.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani

    Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani

    Jan 19, 2017 04:25

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitaka nchi za Kiislamu zisikubali wala kuvumilia kuona Waislamu wakikandamizwa na kudhulumiwa duniani.

  • Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Jan 18, 2017 04:41

    Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.

  • Jumatano, 18 Januari, 2017

    Jumatano, 18 Januari, 2017

    Jan 18, 2017 01:08

    Leo ni Jumatano tarehe 19 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 18, 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS