-
Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani
Jan 19, 2017 04:25Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitaka nchi za Kiislamu zisikubali wala kuvumilia kuona Waislamu wakikandamizwa na kudhulumiwa duniani.
-
Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini
Jan 18, 2017 04:41Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.
-
Jumatano, 18 Januari, 2017
Jan 18, 2017 01:08Leo ni Jumatano tarehe 19 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 18, 2017.
-
Kukiri serikali ya Uingereza juu ya kuweko ubaguzi dhidi ya Waislamu
Jan 16, 2017 23:32Serikali ya Uingereza imekiri kwamba, Waislamu wa nchi hiyo wanaotafuta kazi wamekuwa wakibaguliwa na kufanyiwa vitendo visivyo vya kiadilifu.
-
Waislamu wa Nigeria wanasubiri kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Jan 16, 2017 08:31Sambamba na kukaribia wakati wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, msemaji wa harakati hiyo amewatahadharisha viongozi wa nchi hiyo na kuwataka wamuachilie huru haraka iwezekanavyo mwanaharakati huyo wa Kiislamu.
-
Chuki dhidi ya Uislamu, chanzo cha kuhujumiwa misikiti Afrika Kusini
Jan 14, 2017 04:03Serikali ya Afrika Kusini imesema chuki dhidi ya Uislamu ndio chanzo cha hujumza mbili dhidi ya misikiti mjini Cape Town.
-
Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa
Jan 11, 2017 11:50Serikali ya Morocco imepiga marufuku uzalishaji na uuzaji wa vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.
-
Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu
Jan 07, 2017 12:27Waislamu wa nchi Austria wamelalamikia vikali mpango wa kuwapiga marufuku kuvaa vazi la staha la Hijabu katika maeneo ya kazi za umma.
-
Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu
Jan 07, 2017 03:51Waziri wa Mambo ya Nje na Utangamano wa Austria ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la hijabu linalovaliwa na wanawake Waislamu katika maeneo ya umma nchini humo.
-
SAUTI: Waislamu wafuatilia kwa karibu kesi ya aliyemtukana Mtume Muhammad SAW, Zanzibar
Jan 06, 2017 14:55Waislamu visiwani Zanzibar na ukanda mzima wa Afrika Mashariki wanaendelea kufuatilia kwa karibu hatua zinazochukuliwa na vyombo vya sheria vya Zanzibar kuhusiana na Abdallah Saleh Abdallah aliyeonekana kwenye mkanda wa video akitoa maneno machafu mno dhidi ya Uislamu.