Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Kukiri serikali ya Uingereza juu ya kuweko ubaguzi dhidi ya Waislamu

    Kukiri serikali ya Uingereza juu ya kuweko ubaguzi dhidi ya Waislamu

    Jan 16, 2017 23:32

    Serikali ya Uingereza imekiri kwamba, Waislamu wa nchi hiyo wanaotafuta kazi wamekuwa wakibaguliwa na kufanyiwa vitendo visivyo vya kiadilifu.

  • Waislamu wa Nigeria wanasubiri kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Waislamu wa Nigeria wanasubiri kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jan 16, 2017 08:31

    Sambamba na kukaribia wakati wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, msemaji wa harakati hiyo amewatahadharisha viongozi wa nchi hiyo na kuwataka wamuachilie huru haraka iwezekanavyo mwanaharakati huyo wa Kiislamu.

  • Chuki dhidi ya Uislamu, chanzo cha kuhujumiwa misikiti Afrika Kusini

    Chuki dhidi ya Uislamu, chanzo cha kuhujumiwa misikiti Afrika Kusini

    Jan 14, 2017 04:03

    Serikali ya Afrika Kusini imesema chuki dhidi ya Uislamu ndio chanzo cha hujumza mbili dhidi ya misikiti mjini Cape Town.

  • Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Jan 11, 2017 11:50

    Serikali ya Morocco imepiga marufuku uzalishaji na uuzaji wa vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu

    Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu

    Jan 07, 2017 12:27

    Waislamu wa nchi Austria wamelalamikia vikali mpango wa kuwapiga marufuku kuvaa vazi la staha la Hijabu katika maeneo ya kazi za umma.

  • Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Jan 07, 2017 03:51

    Waziri wa Mambo ya Nje na Utangamano wa Austria ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la hijabu linalovaliwa na wanawake Waislamu katika maeneo ya umma nchini humo.

  • SAUTI: Waislamu wafuatilia kwa karibu kesi ya aliyemtukana Mtume Muhammad SAW, Zanzibar

    SAUTI: Waislamu wafuatilia kwa karibu kesi ya aliyemtukana Mtume Muhammad SAW, Zanzibar

    Jan 06, 2017 14:55

    Waislamu visiwani Zanzibar na ukanda mzima wa Afrika Mashariki wanaendelea kufuatilia kwa karibu hatua zinazochukuliwa na vyombo vya sheria vya Zanzibar kuhusiana na Abdallah Saleh Abdallah aliyeonekana kwenye mkanda wa video akitoa maneno machafu mno dhidi ya Uislamu.

  • HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jan 05, 2017 12:39

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ikiwemo Human Rights Watch yamesema serikali ya Myanmar inajaribu kuficha jinai na mauaji yanayofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Myanmar yazuia misaada ya Malaysia kuwafikia Waislamu Warohingya

    Myanmar yazuia misaada ya Malaysia kuwafikia Waislamu Warohingya

    Dec 30, 2016 12:23

    Utawala wa Myanmar unaendelea kuzuia msafara wa meli za Malaysia zinazosheheni misaada ya dharura kwa ajili ya Waislamu wa kabila la Rohingya huku uhusiano wa nchi mbili hizo ukiendelea kuzorota.

  • Velayati: Iran ni kimbilio salama la Waislamu wote

    Velayati: Iran ni kimbilio salama la Waislamu wote

    Dec 27, 2016 11:42

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislami ni kimbilio na nchi salama zaidi kwa Waislamu wote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS