-
Pew: Waislamu wahanga wa ugaidi nchini Marekani
Dec 23, 2016 00:00Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonesha kuwa, Waislamu na wafuasi wa dini za waliowachache ni wahanga wa ubaguzi na hisia za chuki nchini humo.
-
Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi
Dec 20, 2016 04:33Watu watatu wamejeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na bunduki kushambulia msikiti na kufyatua risasi ovyo akiwalenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada zao katika mji wa Zurich nchini Uswisi usiku wa kuamkia leo.
-
Waislamu London watoa msaada wa chakula kwa mayatima
Dec 18, 2016 11:15Waislamu katika mji mkuu wa Uingereza, London wamekusanya tani nyingi za chakula kwa ajili ya kuwasaidia mayatima na watoto wa mitaani katika kipindi hiki cha sherehe za kufunga mwaka.
-
Rais Rouhani awaasa Waislamu waungane dhidi ya njama za maadui
Dec 15, 2016 11:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka Waislamu wote duniani waungane na kuimarisha umoja na mshikamano wao dhidi ya njama za maadui wanaotaka kuvunja umoja wa Waislamu kwa kuibua uhasama na mifarakano ya kimadhehebu.
-
HRW: Jeshi la Myanmar limeteketeza vijiji vya Waislamu Warohingya
Dec 13, 2016 12:43Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linasema kuna ushahidi unaoonyesha kuwa Jeshi la Myanmar limeteketeza vijiji vya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.
-
Wamarekani walio wengi wakiri kwamba, Waislamu wa nchi hiyo wanabaguliwa
Dec 11, 2016 04:26Utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa, Wamarekani walio wengi wanaamini kuwa, Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na vitendo vya ubaguzi nchini humo.
-
UN yataka Suu Kyi azuie mauaji ya Waislamu Myanmar
Dec 09, 2016 10:31Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa kiongozi asiye rasmi wa Myanmar Aung San Suu Kyi achukue hatua za kuzuia ukatili wa jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Barua ya wazi ya viongozi wa Kiislamu nchini Marekani kwa Donald Trump
Dec 07, 2016 04:09Zaidi ya Waislamu 300 wa Marekani wameonyesha radiamali yao kwa matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump.
-
Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa
Dec 07, 2016 03:49Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la burqa, linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
-
Wanaharakati na wabunge wa Kiislamu Uholanzi wapinga marufuku ya burqa
Dec 01, 2016 00:40Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu na wabunge wa Kiislamu nchini Uholanzi wamepinga vikali hatua ya Bunge la nchi hiyo kupiga marufuku vazi la stara la niqabu au burqa katika baadhi ya maeneo ya umma.