-
Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio
Nov 29, 2016 10:41Viongozi wa Kiislamu nchini Marekani wamelaani vikali kile vyombo vya usalama vimetaja kuwa hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.
-
Jumuiya ya haki za binadamu Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Nov 21, 2016 23:16Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Maandamano ya kuwaunga mkono Waislamu Marekani yaendelea, mara hii ni wakazi wa Kentucky
Nov 21, 2016 23:15Wakazi wa jimbo la Kentucky nchini Marekani wamefanya maandamano kwa kukusanyika mbele ya kituo cha Kiislamu cha mji huo kuwaunga mkono Waislamu hususan baada ya uchaguzi wa rais uliompa ushindi Donald Trump, mfanyabiashara mwenye misimamo ya chuki dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.
-
Rakhine, machinjio ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar
Nov 19, 2016 23:10Jimbo la Rakhine lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu nchini Myanmar limeendelea kushuhudia ukatili na mauaji ya kutisha dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.
-
UN: 30 elfu wamelazimika kuwa wakimbizi Myanmar tangu Oktoba
Nov 19, 2016 04:11Umoja wa Mataifa umesema operesheni kali ya kiusalama inayoendelea kushuhudiwa katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar imesababisha makumi ya maelfu ya watu kubaki bila makazi tangu mwezi uliopita wa Oktoba.
-
Mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama na Jeshi la Nigeria
Nov 17, 2016 23:53Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (INM) imefanya mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama hivi karibuni na jeshi la nchi hiyo katika mji wa kaskazini wa Kano.
-
Kuendelea kuuliwa Waislamu wa Myanmar na jeshi la nchi hiyo
Nov 17, 2016 23:35Taasisi ya Taifa ya Arakan Rohingya ARNO (Arakan Rohingya National Organisation) imetangaza kuwa, Waislamu wasiopungua 150 wameuliwa na wanajeshi wa Myanmar katika kipindi cha siku tano zilizopita katika mkoa wa Rakhin wa magharibi mwa nchi hiyo.
-
Kushambuliwa Waislamu na jeshi la Nigeria
Nov 15, 2016 07:42Katika kuendelea vitendo vya mauaji vya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu, kwa mara nyingine Waislamu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika wameshambuliwa na jeshi.
-
Jeshi la Myanmar laua makumi ya Waislamu wa Rohingya
Nov 14, 2016 11:55Jeshi la Myanmar limeua makumi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika wimbi jipya la ukandamizaji unaofanyika nchini humo dhidi ya jamii hiyo ya waliowachache hususan katika mkoa wa Rakhine.
-
Mamia ya nyumba za Waislamu wa Myanmar zachomwa moto
Nov 13, 2016 04:46Mamia ya nyumba za Waislamu wa Myanmar zimechomwa moto magharibi mwa nchi hiyo sambamba na kuendelea ukandamizaji dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.