Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji

    Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji

    Jun 20, 2016 10:03

    Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeyalaani makundi ya watu ambao wanafanya njama za kurejesha ukosefu wa amani na mauaji katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.

  • Askari mwandamizi wa Marekani akamatwa kwa kujaribu kuua Waislamu

    Askari mwandamizi wa Marekani akamatwa kwa kujaribu kuua Waislamu

    Jun 11, 2016 02:39

    Ofisa mwandamizi wa jeshi la Marekani anatazamiwa kupandishwa kizimbani karibuni hivi kwa madai ya kutishia kushambulia msikiti na kuua waumini wa Kiislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini.

  • China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani

    China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani

    Jun 07, 2016 23:29

    Serikali ya China, kwa mara nyingine, imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa umma na hata wakaazi wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang kutofunga Saum ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi wa Ramadhani

    Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi wa Ramadhani

    Jun 06, 2016 03:11

    Baadhi ya Waislamu kutoka pembe mbali mbali za dunia wameanza ibada ya funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    May 27, 2016 23:18

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.

  • Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu

    Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu

    May 24, 2016 11:51

    Chama cha mrengo wa kulia nchini Ujerumani cha AfD kimevunja mazungumzo yaliyotazamia kuupatia ufumbuzi mkwaruzano kati yao na wanaharakati Waislamu nchini humo.

  • Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia

    Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia

    May 23, 2016 23:05

    Waislamu wa Marekani hawakabiliwi na matatizo katika kipindi cha uhai wao tu bali hata wanapofariki dunia matatizo hayo bado huwaandama.

  • Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba

    Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba

    May 23, 2016 02:57

    Donald Trump, anayewania kuteuliwa na chama chake cha Republican kugombea urais wa Marekani na ambaye ni maarufu kwa maneno ya chuki dhidi ya Waislamu, hivi sasa anaonekana kuhaha kutafuta kura za Waislamu.

  • Waislamu Uingereza waendesha kampeni maalumu za kuutambulisha Uislamu

    Waislamu Uingereza waendesha kampeni maalumu za kuutambulisha Uislamu

    May 21, 2016 23:52

    Jumuiya ya Waislamu wa Uingereza imeitisha kikao maalumu cha kujibu maswali ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu kuhusiana na Uislamu na utamaduni wa Kiislamu.

  • Mkutano wa kiusalama wafanyika katika msikiti mmoja nchini Rwanda

    Mkutano wa kiusalama wafanyika katika msikiti mmoja nchini Rwanda

    May 17, 2016 09:17

    Wakuu wa vyombo vya usalama na viongozi wa Kiislamu wa Rwanda wamefanya mkutano katika msikiti mmoja nchini humo kujadili mustakabali wa kiusalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS