Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbi

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Jul 09, 2017 09:35

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tisa ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • FAO: Kuna wakimbizi milioni mbili katika mikoa ya Tanganyika na Kasaï Kongo DR

    FAO: Kuna wakimbizi milioni mbili katika mikoa ya Tanganyika na Kasaï Kongo DR

    Jun 29, 2017 10:09

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza habari ya kuweko wakimbizi milioni mbili katika mikoa miwili ya Tanganyika, mashariki mwa nchi na Kasaï, katikati mwa taifa hilo.

  • UNHCR: Mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani

    UNHCR: Mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani

    Jun 19, 2017 10:58

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kuwa, watu milioni 65 na laki sita walikuwa wakimbizi kote duniani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2016.

  • UN yaonya kuhusu hali ya watu milioni 130 wanaokabiliwa na hali mbaya ulimwenguni

    UN yaonya kuhusu hali ya watu milioni 130 wanaokabiliwa na hali mbaya ulimwenguni

    Jun 17, 2017 23:21

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu milioni 130 katika maeneo mbalimbali duniani wanakabiliwa na mugogoro ya kibinadamu na ukimbizi.

  • Asasi za kiraia zatahadharisha juu ya kuendelea hali mbaya ya wakimbizi Chad

    Asasi za kiraia zatahadharisha juu ya kuendelea hali mbaya ya wakimbizi Chad

    Jun 01, 2017 02:50

    Asasi zisizo za kiserikali zimeonya kuhusiana na kuendelea kuwa mbaya hali ya wakimbizi na mgogoro wa kibinadamu nchini Chad.

  • UN: Matatizo yote ya Wapalestina yanatokana na Israel

    UN: Matatizo yote ya Wapalestina yanatokana na Israel

    May 31, 2017 22:50

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, matatizo yote waliyo nayo Wapalestina hivi sasa yanatokana na kukaliwa kwa mabavu ardhi zao na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 28, 2017 06:45

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya sita ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • Malango: Wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia Uganda

    Malango: Wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia Uganda

    May 10, 2017 22:58

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Uganda amesema kuwa, wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia nchini humo kila siku.

  • UN yataka suala la wakimbizi Libya lishughulikiwe ipasavyo

    UN yataka suala la wakimbizi Libya lishughulikiwe ipasavyo

    Feb 11, 2017 13:08

    Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wametaka kuchukuliwe hatua za kivitendo za kufuatilia hali ya wakimbizi wa nchini Libya.

  • Kuafiki Kenya uakhirishaji tarehe ya kufunga kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Dadaab

    Kuafiki Kenya uakhirishaji tarehe ya kufunga kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Dadaab

    Nov 18, 2016 04:39

    Hatimaye baada ya mazungumzo magumu, serikali ya Kenya wiki hii imeafiki kuakhirisha tarehe ya kufungwa kambi ya wakimbizi ya Daadab iliyo karibu na mpaka wa nchi hiyo na Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS