-
Wakimbizi wa Iraq warejea katika makazi yao
Oct 03, 2016 10:48Malefu ya familia za wakimbizi Wairaqi zimerejea katika makazi yao hapo awali baada amani na utulivu kurejea katika baadhi ya maeneo ya Iraq.
-
Somalia na changamoto ya kurejea nyumbani wakimbizi walioke nje ya nchi
Sep 17, 2016 23:35Katika hali ambayo vita vya ndani na mizozo ya kikabila inayoendelea sasa katika nchi kadhaa za Kiafrika vimeibua wimbi kubwa la wakimbizi katika nchi jirani za maeneo mbalimbali ya bara hilo, serikali za nchi za bara hilo sasa zinakabiliwa na matatizo mapya ya jinsi ya kurejea wakimbizi hao katika nchi zao baada ya kumalizika vita na machafuko ya ndani katika baadhi ya nchi hizo.
-
UNHCR: Hali ya wakimbizi Sudan Kusini ni mbaya sana
Jul 12, 2016 12:32Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa hali ya raia wanaokimbia vita na mapigano ya ndani Sudan Kusini inatia wasiwasi mkubwa.
-
Wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya waanza kurejeshwa makwao
Jul 02, 2016 07:52Oparesheni ya kuwarejeshwa makwao wakimbizi waliokuwepo katika kambi ya Dadaab huko Kenya imeanza licha ya kuwepo juhudi za kimataifa za kutaka kuzuia zoezi hilo.
-
Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao
Jul 02, 2016 03:33Operesheni ya kuwarejesha makwao wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Dadaab huko mashariki mwa Kenya imeanza kutekelezwa.
-
Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka
Jul 01, 2016 10:47Waziri wa Habari wa Sudan Kusini amesema kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni nchini humo imeongezeka.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka wakimbizi duniani
Jun 21, 2016 11:26Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetoa ripoti mpya sambamba na kuadhimishwa Siku ya Wakimbizi Duniani na kutangaza kuwa hadi mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2015 idadi ya wakimbizi ilikuwa zaidi ya watu milioni 65.
-
Serikali ya Kenya yaainisha muda wa kuondoka wakimbizi katika kambi ya Daadab
Jun 11, 2016 23:12Serikali ya Kenya imeainisha muhula wa kuondoka maelfu ya wakimbizi wanaoishi kwenye kambi ya Dadaab nchini humo.
-
Indhari ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR kuhusiana na hali ya Burundi
May 03, 2016 08:00Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetoa ripoti na kutangaza kuwa, katika hali ambayo umepita mwaka mmoja tangu mgogoro wa Burundi ulipoibuka, hali ya mambo nchini humo ingali si shwari na kwamba, wananchi wa nchi hiyo wanaendelea kukimbilia katika nchi jirani.
-
Umoja wa Mataifa waitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kulitafutia ufumbuzi tatizo la wakimbizi
Apr 27, 2016 23:26Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutafuta ufumbuzi wa kudumu kuhusiana na wakimbizi wa mashariki mwa nchi hiyo.