Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Waziri Mkuu wa Hungary awaita wakimbizi Waislamu 'wavamizi'

    Waziri Mkuu wa Hungary awaita wakimbizi Waislamu 'wavamizi'

    Jan 10, 2018 04:35

    Waziri Mkuu wa Hungary amewataja wakimbizi Waislamu wanaowasili katika nchi za Ulaya wakikimbia migogoro Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika kuwa 'wavamizi Waislamu'.

  • Kwa siku watu 15000 wanalazimika kuwa wakimbizi wa ndani barani Afrika

    Kwa siku watu 15000 wanalazimika kuwa wakimbizi wa ndani barani Afrika

    Dec 06, 2017 07:57

    Vita, ukatili na unyanyasaji unaoendelea kushuhudiwa katika nchi nyingi za Afrika vimesababisha wastani wa watu 15 elfu kuwa wakimbizi wa ndani kila siku, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu 2017.

  • Wakimbizi 12,000 kutoka DRC waingia Zambia, UNHCR haina fedha za kuwashguhulikia

    Wakimbizi 12,000 kutoka DRC waingia Zambia, UNHCR haina fedha za kuwashguhulikia

    Dec 04, 2017 07:39

    Zaidi ya wakimbizi 12,000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia nchi jirani ya Zambia kutafuta hifadhi kutokana na machafuko Kusini Mashariki mwa nchi yao.

  • Wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania wanakabiliwa na hali mbaya: UNHCR

    Wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania wanakabiliwa na hali mbaya: UNHCR

    Dec 01, 2017 16:29

    Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wanaishi katikia hali mbaya kwenye kambi za wakimbizi nchini Tanzania kwa sababu ya uhaba wa fedha. hayo yamesemwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.

  • Nchi kadhaa za Ulaya zakubali kupokea wakimbizi

    Nchi kadhaa za Ulaya zakubali kupokea wakimbizi

    Nov 18, 2017 07:00

    Nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya zimeafiki kupokea wakimbizi wapya baada ya tahadhari iliyotolewa na Umoja wa Mataifa.

  • UN: Kitendo cha EU kuisaidia Libya kuwazuilia wakimbizi sio cha kibinadamu

    UN: Kitendo cha EU kuisaidia Libya kuwazuilia wakimbizi sio cha kibinadamu

    Nov 15, 2017 07:23

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema sera ya Umoja wa Ulaya ya kuwasaidia maafisa wa serikali ya Libya kuwazuilia wakimbizi wanaotaka kwenda Ulaya kupitia safari hatari za baharini ni kitendo kisicho cha ubinadamu.

  • UN yaanza kuwahamisha wakimbizi wa Kiafrika kutoka Libya hadi Niger

    UN yaanza kuwahamisha wakimbizi wa Kiafrika kutoka Libya hadi Niger

    Nov 12, 2017 14:12

    Umoja wa Mataifa umeanza zoezi la kuwahamisha wakimbizi wa nchi za Afrika walioko Libya na kuwapeleka nchini Niger.

  • Wakimbizi wa Kongo DR wadai kuwa jeshi linaua na kubaka raia

    Wakimbizi wa Kongo DR wadai kuwa jeshi linaua na kubaka raia

    Nov 09, 2017 07:47

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Zambia wamelituhumu jeshi la nchi yao kuwa linahusika na mauaji na ubakaji dhidi yao.

  • EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000

    EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000

    Nov 02, 2017 07:31

    Kamishna Mkuu wa Misaada ya Kibinadamu na Kudhibiti Majanga wa Umoja wa Ulaya amesema zaidi ya watoto elfu 40 ni miongoni mwa malaki ya wakimbizi wa jamii ya Rohingya waliokimilia nchini Bangladesh kutokana na mauaji na ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na serikali ya Myanmar.

  • Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu

    Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu

    Oct 16, 2017 08:14

    Idara ya Huduma za Kijamii nchini Bangladesh imesema watoto karibu 14 elfu wa Rohingya wamekuwa mayatima baada ya kupoteza wazazi wao katika mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii hiyo nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS