Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • UN yaanza kuwahamisha wakimbizi wa Kiafrika kutoka Libya hadi Niger

    UN yaanza kuwahamisha wakimbizi wa Kiafrika kutoka Libya hadi Niger

    Nov 12, 2017 10:42

    Umoja wa Mataifa umeanza zoezi la kuwahamisha wakimbizi wa nchi za Afrika walioko Libya na kuwapeleka nchini Niger.

  • Wakimbizi wa Kongo DR wadai kuwa jeshi linaua na kubaka raia

    Wakimbizi wa Kongo DR wadai kuwa jeshi linaua na kubaka raia

    Nov 09, 2017 04:17

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Zambia wamelituhumu jeshi la nchi yao kuwa linahusika na mauaji na ubakaji dhidi yao.

  • EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000

    EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000

    Nov 02, 2017 04:01

    Kamishna Mkuu wa Misaada ya Kibinadamu na Kudhibiti Majanga wa Umoja wa Ulaya amesema zaidi ya watoto elfu 40 ni miongoni mwa malaki ya wakimbizi wa jamii ya Rohingya waliokimilia nchini Bangladesh kutokana na mauaji na ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na serikali ya Myanmar.

  • Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu

    Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu

    Oct 16, 2017 04:44

    Idara ya Huduma za Kijamii nchini Bangladesh imesema watoto karibu 14 elfu wa Rohingya wamekuwa mayatima baada ya kupoteza wazazi wao katika mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii hiyo nchini Myanmar.

  • Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Oct 11, 2017 04:43

    Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.

  • UNHCR yaomba bajeti kwa ajili ya kuwasaidia Waislamu wa Myanmar

    UNHCR yaomba bajeti kwa ajili ya kuwasaidia Waislamu wa Myanmar

    Oct 05, 2017 01:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limeomba bajeti kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingyya wa nchini Myanmar.

  • Maelfu ya raia wa Congo wakimbilia Zambia kutokana na machafuko

    Maelfu ya raia wa Congo wakimbilia Zambia kutokana na machafuko

    Oct 03, 2017 22:53

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia nchi jirani ya Zambia katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita wakikimbia ghasia na machafuko yanayoendelea nchini kwao.

  • DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    Sep 30, 2017 04:43

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesimamisha matangazo ya radio moja inayomilikiwa na Chama cha Wafanyabiashara wa Burundi, kwa kukosoa mauaji ya wakimbizi Warundi waliouawa hivi karibuni na wanajeshi wa DRC.

  • Cameroon yawatimua wakimbizi laki moja wa Nigeria

    Cameroon yawatimua wakimbizi laki moja wa Nigeria

    Sep 27, 2017 22:59

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya Cameroon kuwafukuza nchini wakimbizi zaidi ya laki moja raia wa Nigeria.

  • Taasisi ya Haki za Binadamu: Kongo inapasa kutekeleza majukumu yake kuhusu wakimbizi

    Taasisi ya Haki za Binadamu: Kongo inapasa kutekeleza majukumu yake kuhusu wakimbizi

    Sep 22, 2017 12:50

    Mratibu wa Kitaifa wa Taasisi Zisizo za Kiserikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameitaka serikali ya nchi hiyo kutekeleza majukumu yake kuhusu suala la haki za wakimbizi na raia wanaotafuta hifadhi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS