Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Oct 11, 2017 08:13

    Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.

  • UNHCR yaomba bajeti kwa ajili ya kuwasaidia Waislamu wa Myanmar

    UNHCR yaomba bajeti kwa ajili ya kuwasaidia Waislamu wa Myanmar

    Oct 05, 2017 04:35

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limeomba bajeti kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingyya wa nchini Myanmar.

  • Maelfu ya raia wa Congo wakimbilia Zambia kutokana na machafuko

    Maelfu ya raia wa Congo wakimbilia Zambia kutokana na machafuko

    Oct 04, 2017 02:23

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia nchi jirani ya Zambia katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita wakikimbia ghasia na machafuko yanayoendelea nchini kwao.

  • DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi

    Sep 30, 2017 08:13

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesimamisha matangazo ya radio moja inayomilikiwa na Chama cha Wafanyabiashara wa Burundi, kwa kukosoa mauaji ya wakimbizi Warundi waliouawa hivi karibuni na wanajeshi wa DRC.

  • Cameroon yawatimua wakimbizi laki moja wa Nigeria

    Cameroon yawatimua wakimbizi laki moja wa Nigeria

    Sep 28, 2017 02:29

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya Cameroon kuwafukuza nchini wakimbizi zaidi ya laki moja raia wa Nigeria.

  • Taasisi ya Haki za Binadamu: Kongo inapasa kutekeleza majukumu yake kuhusu wakimbizi

    Taasisi ya Haki za Binadamu: Kongo inapasa kutekeleza majukumu yake kuhusu wakimbizi

    Sep 22, 2017 16:20

    Mratibu wa Kitaifa wa Taasisi Zisizo za Kiserikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameitaka serikali ya nchi hiyo kutekeleza majukumu yake kuhusu suala la haki za wakimbizi na raia wanaotafuta hifadhi nchini humo.

  • UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu wimbi la wakimbizi wa Rohingya nchini Bangladesh

    UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu wimbi la wakimbizi wa Rohingya nchini Bangladesh

    Sep 09, 2017 07:45

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limeeleza wasi wasi mkubwa lilionao kutokana na kuendelea kumiminika idadi kubwa ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Bangladesh.

  • Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania

    Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania

    Sep 07, 2017 07:46

    Awamu ya kwanza ya wakimbizi wa Burundi wanaorejea kwa hiari kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao leo.

  • Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki

    Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki

    Sep 03, 2017 11:11

    Katika hatua ya kutekeleza siasa zake dhidi ya uhajiri, serikali ya Hungary imeutaka Umoja wa Ulaya kulipa nusu ya gharama za kuanzishwa mzingiro wa kimpaka wa nchi hiyo kwa lengo la kuwazuia wahajiri kuingia nchini humo.

  • Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi

    Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi

    Aug 27, 2017 14:36

    Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel ameunga mkono siasa zinazotekelezwa na serikali yake za kuwapokea wakimbizi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS