Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Aug 21, 2017 02:20

    Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.

  • Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Aug 17, 2017 04:12

    Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya

    Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya

    Aug 10, 2017 03:01

    Shirika la kimataifa la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao yake mjini London limeutahadharisha Umoja wa Ulaya kuhusu hatua yake ya kuwazuia wahajiri wanaotoka Libya kuingia barani humo.

  • Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Aug 09, 2017 02:32

    Serikali ya Poland imetangaza msimamo wake mpya kuhusiana na kupinga kuwapokea wahajiri na kusema kuwa, haitawapokea wahajiri kutoka Mashariki ya Kati na Afrika.

  • Der Spiegel: Mazingira ya kambi za wakimbizi Libya ni mabaya sana

    Der Spiegel: Mazingira ya kambi za wakimbizi Libya ni mabaya sana

    Aug 07, 2017 07:56

    Imeelezwa kuwa, mazingira yanayotawala katika kambi za wakimbizi nchini Libya ni mabaya sana.

  • Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais

    Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais

    Aug 04, 2017 02:26

    Mamia ya wakimbizi walioko katika kambi ya Calais huko kaskazini mwa Ufaransa wanaendelea kusumbuliwa na hali mbaya kupita kiasi, na siasa na sera tofauti na zinazokinzana za viongozi wa Ufaransa zimezidisha hali mbaya ya wakimbizi hao.

  • Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya

    Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya

    Jul 09, 2017 02:51

    Makumi ya watu wanahofiwa kufa maji katika maji ya pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.

  • UNHCR: Libya, imekuwa njia ya mauati ya maelfu ya wahajiri wanaotaka kuelekea Ulaya

    UNHCR: Libya, imekuwa njia ya mauati ya maelfu ya wahajiri wanaotaka kuelekea Ulaya

    Jul 04, 2017 12:35

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataif (UNHCR) imetangaza kuwa, Libya ndiyo njia inayosababisha mauti na vifo vingi zaidi vya wakimbizi wanaotaka kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania.

  • Manowari ya Ireland yaokoa wahajiri 712 karibu na Libya

    Manowari ya Ireland yaokoa wahajiri 712 karibu na Libya

    Jun 26, 2017 16:08

    Manowari moja ya Ireland imewaokoa watu 712 wakiwemo akinamama wajawazito na watoto wachanga katika pwani ya mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi

    Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi

    Jun 24, 2017 03:36

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema suluhu ya wimbi kubwa la wakimbizi barani Afrika tangu mauaji ya Kimbari ya Rwanda ni kumaliza mgogoro wa Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS