-
Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri
Aug 21, 2017 02:20Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.
-
Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini
Aug 17, 2017 04:12Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya
Aug 10, 2017 03:01Shirika la kimataifa la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao yake mjini London limeutahadharisha Umoja wa Ulaya kuhusu hatua yake ya kuwazuia wahajiri wanaotoka Libya kuingia barani humo.
-
Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu
Aug 09, 2017 02:32Serikali ya Poland imetangaza msimamo wake mpya kuhusiana na kupinga kuwapokea wahajiri na kusema kuwa, haitawapokea wahajiri kutoka Mashariki ya Kati na Afrika.
-
Der Spiegel: Mazingira ya kambi za wakimbizi Libya ni mabaya sana
Aug 07, 2017 07:56Imeelezwa kuwa, mazingira yanayotawala katika kambi za wakimbizi nchini Libya ni mabaya sana.
-
Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais
Aug 04, 2017 02:26Mamia ya wakimbizi walioko katika kambi ya Calais huko kaskazini mwa Ufaransa wanaendelea kusumbuliwa na hali mbaya kupita kiasi, na siasa na sera tofauti na zinazokinzana za viongozi wa Ufaransa zimezidisha hali mbaya ya wakimbizi hao.
-
Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya
Jul 09, 2017 02:51Makumi ya watu wanahofiwa kufa maji katika maji ya pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.
-
UNHCR: Libya, imekuwa njia ya mauati ya maelfu ya wahajiri wanaotaka kuelekea Ulaya
Jul 04, 2017 12:35Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataif (UNHCR) imetangaza kuwa, Libya ndiyo njia inayosababisha mauti na vifo vingi zaidi vya wakimbizi wanaotaka kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania.
-
Manowari ya Ireland yaokoa wahajiri 712 karibu na Libya
Jun 26, 2017 16:08Manowari moja ya Ireland imewaokoa watu 712 wakiwemo akinamama wajawazito na watoto wachanga katika pwani ya mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi
Jun 24, 2017 03:36Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema suluhu ya wimbi kubwa la wakimbizi barani Afrika tangu mauaji ya Kimbari ya Rwanda ni kumaliza mgogoro wa Sudan Kusini.