Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu wimbi la wakimbizi wa Rohingya nchini Bangladesh

    UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu wimbi la wakimbizi wa Rohingya nchini Bangladesh

    Sep 09, 2017 03:15

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limeeleza wasi wasi mkubwa lilionao kutokana na kuendelea kumiminika idadi kubwa ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Bangladesh.

  • Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania

    Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania

    Sep 07, 2017 03:16

    Awamu ya kwanza ya wakimbizi wa Burundi wanaorejea kwa hiari kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao leo.

  • Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki

    Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki

    Sep 03, 2017 06:41

    Katika hatua ya kutekeleza siasa zake dhidi ya uhajiri, serikali ya Hungary imeutaka Umoja wa Ulaya kulipa nusu ya gharama za kuanzishwa mzingiro wa kimpaka wa nchi hiyo kwa lengo la kuwazuia wahajiri kuingia nchini humo.

  • Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi

    Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi

    Aug 27, 2017 10:06

    Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel ameunga mkono siasa zinazotekelezwa na serikali yake za kuwapokea wakimbizi nchini humo.

  • Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Aug 20, 2017 21:50

    Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.

  • Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Aug 16, 2017 23:42

    Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya

    Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya

    Aug 09, 2017 22:31

    Shirika la kimataifa la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao yake mjini London limeutahadharisha Umoja wa Ulaya kuhusu hatua yake ya kuwazuia wahajiri wanaotoka Libya kuingia barani humo.

  • Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Aug 08, 2017 22:02

    Serikali ya Poland imetangaza msimamo wake mpya kuhusiana na kupinga kuwapokea wahajiri na kusema kuwa, haitawapokea wahajiri kutoka Mashariki ya Kati na Afrika.

  • Der Spiegel: Mazingira ya kambi za wakimbizi Libya ni mabaya sana

    Der Spiegel: Mazingira ya kambi za wakimbizi Libya ni mabaya sana

    Aug 07, 2017 03:26

    Imeelezwa kuwa, mazingira yanayotawala katika kambi za wakimbizi nchini Libya ni mabaya sana.

  • Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais

    Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais

    Aug 03, 2017 21:56

    Mamia ya wakimbizi walioko katika kambi ya Calais huko kaskazini mwa Ufaransa wanaendelea kusumbuliwa na hali mbaya kupita kiasi, na siasa na sera tofauti na zinazokinzana za viongozi wa Ufaransa zimezidisha hali mbaya ya wakimbizi hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS