-
Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya
Jul 08, 2017 22:21Makumi ya watu wanahofiwa kufa maji katika maji ya pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.
-
UNHCR: Libya, imekuwa njia ya mauati ya maelfu ya wahajiri wanaotaka kuelekea Ulaya
Jul 04, 2017 08:05Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataif (UNHCR) imetangaza kuwa, Libya ndiyo njia inayosababisha mauti na vifo vingi zaidi vya wakimbizi wanaotaka kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania.
-
Manowari ya Ireland yaokoa wahajiri 712 karibu na Libya
Jun 26, 2017 11:38Manowari moja ya Ireland imewaokoa watu 712 wakiwemo akinamama wajawazito na watoto wachanga katika pwani ya mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi
Jun 23, 2017 23:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema suluhu ya wimbi kubwa la wakimbizi barani Afrika tangu mauaji ya Kimbari ya Rwanda ni kumaliza mgogoro wa Sudan Kusini.
-
UN yaipongeza Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi
Jun 21, 2017 23:12Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi UNHCR limeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi.
-
Kongo DR yatahadharisha ongezeko la wakimbizi wa Burundi nchini humo
Jun 21, 2017 03:03Mkuu wa Kamisheni ya Taifa ya Kushughulikia wakimbizi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ametahadharisha juu ya ongezeko la wakimbizi wa Burundi kuzidi kiwango cha ukubwa wa kambi za kuhifadhi wakimbizi huko mashariki mwa nchi.
-
UNICEF: Watoto 1,000 wanakimbia vita Sudan Kusini kila siku
Jun 20, 2017 09:13Huku ulimwengu leo ukiadhimisha Siku ya Wakimbizi duniani, imebainika kuwa watoto 1,000 kila siku hufurushwa makwao nchini Sudani Kusini.
-
Mamia ya Wahamiaji wanyanyaswa na kushikiliwa bila ridhaa yao Libya
Jun 15, 2017 02:51Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM limebainisha wasi wasi kuhusu hali ya takribani wakimbizi na wahamiaji 260 wa Somalia na Ethiopia wakiwemo watoto wanaoshikiliwa na wasafirishaji haramu wa binadamu au magenge ya wahalifu nchini Libya bila ridhaa yao.
-
UN inahitaji dola milioni 65 kwa ajili ya wakimbizi wa DRC
Jun 13, 2017 23:49Umoja wa Mataifa umesema unahitaji makumi ya mamilioni ya dola kwa ajili ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Angola.
-
UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina
Jun 13, 2017 09:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuunga mkono shirika la umoja huo linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, baada ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutoa wito wa kuvunjwa taasisi hiyo ya kimataifa.