-
Rwanda kuwapokea mamia ya wakimbizi waliokwama Libya
Sep 11, 2019 02:31Serikali ya Rwanda imekubali kuwapokea mamia ya wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi waliokwama nchini Libya.
-
Ujerumani yahimiza kuundwa umoja wa nchi za Ulaya wa kuwaokoa wakimbizi
Jul 13, 2019 21:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema kuwa kuna ulazima wa kuundwa umoja wa nchi za Ulaya kwa ajili ya kuwaokoa wakimbizi na kutoa mchango wa kimsingi Berlin katika jukumu hilo.
-
Mbunge wa Kongresi ya Marekani: Hali ya vituo vya kuwazuilia wahajiri ni ya kutisha
Jul 02, 2019 21:59Mjumbe wa bunge la wawakilishi nchini Marekani amefichua hali mbaya ya afya katika kambi za kuwazuilia wahajiri kwenye mpaka wa nchi hiyo kuwa ni ya kutisha sana.
-
UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi
Jun 19, 2019 03:09Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema takriban watu milioni 71 wamelazimika kuwa wakimbizi kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.
-
UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR
Jun 18, 2019 08:05Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya watu laki tatu wameikimbia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, kutokana na mapigano ya kikabila.
-
Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake
Jun 08, 2019 07:37Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.
-
UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"
May 02, 2019 09:55Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.
-
Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka
Feb 17, 2019 01:05Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.
-
UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi
Feb 12, 2019 10:44Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema mapigano mapya yaliyoibuka nchini Sudan Kusini yamesababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.
-
Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018
Jan 04, 2019 12:55Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuwa zaidi ya wahajiri elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania katika mwaka ulioisha wa 2018.