Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Rwanda kuwapokea mamia ya wakimbizi waliokwama Libya

    Rwanda kuwapokea mamia ya wakimbizi waliokwama Libya

    Sep 11, 2019 02:31

    Serikali ya Rwanda imekubali kuwapokea mamia ya wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi waliokwama nchini Libya.

  • Ujerumani yahimiza kuundwa umoja wa nchi za Ulaya wa kuwaokoa wakimbizi

    Ujerumani yahimiza kuundwa umoja wa nchi za Ulaya wa kuwaokoa wakimbizi

    Jul 13, 2019 21:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema kuwa kuna ulazima wa kuundwa umoja wa nchi za Ulaya kwa ajili ya kuwaokoa wakimbizi na kutoa mchango wa kimsingi Berlin katika jukumu hilo.

  • Mbunge wa Kongresi ya Marekani: Hali ya vituo vya kuwazuilia wahajiri ni ya kutisha

    Mbunge wa Kongresi ya Marekani: Hali ya vituo vya kuwazuilia wahajiri ni ya kutisha

    Jul 02, 2019 21:59

    Mjumbe wa bunge la wawakilishi nchini Marekani amefichua hali mbaya ya afya katika kambi za kuwazuilia wahajiri kwenye mpaka wa nchi hiyo kuwa ni ya kutisha sana.

  • UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi

    UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi

    Jun 19, 2019 03:09

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema takriban watu milioni 71 wamelazimika kuwa wakimbizi kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.

  • UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR

    UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR

    Jun 18, 2019 08:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya watu laki tatu wameikimbia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, kutokana na mapigano ya kikabila.

  • Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Jun 08, 2019 07:37

    Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 09:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

  • Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Feb 17, 2019 01:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.

  • UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi

    UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi

    Feb 12, 2019 10:44

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema mapigano mapya yaliyoibuka nchini Sudan Kusini yamesababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.

  • Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018

    Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018

    Jan 04, 2019 12:55

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuwa zaidi ya wahajiri elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania katika mwaka ulioisha wa 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS