Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR

    UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR

    Jun 18, 2019 12:35

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya watu laki tatu wameikimbia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, kutokana na mapigano ya kikabila.

  • Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Jun 08, 2019 12:07

    Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 14:25

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

  • Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Feb 17, 2019 04:35

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.

  • UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi

    UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi

    Feb 12, 2019 14:14

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema mapigano mapya yaliyoibuka nchini Sudan Kusini yamesababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.

  • Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018

    Wahajiri zaidi ya elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania mwaka 2018

    Jan 04, 2019 16:25

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuwa zaidi ya wahajiri elfu mbili wameaga dunia katika bahari ya Mediterania katika mwaka ulioisha wa 2018.

  • Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri

    Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri

    Dec 21, 2018 02:37

    Tatizo la kilimwengu la wahajiri ni ukweli ambao umedhihirika wazi katika miaka ya hivi karibuni tena kwa namna ambayo haijawahi kushuhudiwa.

  • UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi

    UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi

    Nov 21, 2018 07:50

    Umoja wa Mataifa umezipongeza serikali za Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi katika shule za taifa na kuwafanya wawe na utangamano.

  • Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani

    Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani

    Nov 16, 2018 14:53

    Jeshi la Russia limetangaza habari ya kurejea nyumbani wakimbizi zaidi ya laki mbili na 70 elfu wa Syria ndani ya miezi michache iliyopita.

  • UNHCR: Watu milioni 12 duniani hawana utaifa

    UNHCR: Watu milioni 12 duniani hawana utaifa

    Nov 14, 2018 07:58

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi , UNHCR limesema kuna watu milioni 12 kote duniani ambao hawana utaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS