Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC

    UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC

    Oct 17, 2018 15:04

    Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi na hali ya kibinadamu katika jimbo la Kasai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na kurejea wakimbizi wengi kutoka Angola katika wiki mbili zilizopita.

  • Watoto wa wakimbizi wanaopotea kiholela waongezeka Ujerumani

    Watoto wa wakimbizi wanaopotea kiholela waongezeka Ujerumani

    Oct 14, 2018 01:11

    Idadi ya watoto wa wakimbizi wanaopotea katika mazingira ya kutatanisha inazidi kuongezeka nchini Ujerumani huku idadi ya wakimbizi wanaoruhusiwa kuingia nchini humo nayo ikizidi kupungua.

  • Indhari  kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha

    Indhari kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha

    Sep 03, 2018 13:31

    Mjumbe Maalumu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa katika kituo cha Mediterania ametahadharisha kuwa wahajiri hukabiliana na hatari chungu nzima wakati wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterania ili kufika Ulaya.

  • Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Aug 23, 2018 15:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelalamikia juhudi za nchi za Ulaya za kutaka kuwarejesha wakimbizi wa Kiafrika nchini Libya na kusema kuwa jambo hilo ni la kidhalimu, ni kinyume cha sheria na halikubaliki kabisa.

  • Papa aitaka jamii ya kimataifa kukomesha maafa ya wahajiri

    Papa aitaka jamii ya kimataifa kukomesha maafa ya wahajiri

    Jul 23, 2018 07:54

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani ameitolea wito jamii ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia kukaririwa maafa ya wahajiri katika maji ya bahari ya Mediterania.

  • Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya

    Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya

    Jul 02, 2018 07:40

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu imesema sio salama kwa maelfu ya wakimbizi wa Rohingya wanaoshi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh kurejea makwao katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar.

  • Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika

    Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika

    Jun 30, 2018 07:31

    Nchi tano za kaskazini mwa Afrika zimekataa mapendekezo ya viongozi wa Ulaya ya kuanzisha kambi maalumu za wahajiri katika ardhi za nchi hizo kwa ajili ya kuwapokea wahajiri wa Kiafrika.

  • UN: Migogoro yaifanya robo ya wananchi wa CAR kuwa wakimbizi

    UN: Migogoro yaifanya robo ya wananchi wa CAR kuwa wakimbizi

    May 30, 2018 07:52

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema mapigano na migogoro imeifanya asilimia 25 ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.

  • Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi

    Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi

    May 06, 2018 07:50

    Serikali ya Uganda imeutaka Umoja wa Mataifa uongeze msaada na ufadhili wake kwa ajili ya makumi ya maelfu ya wakimbizi walioko nchini humo.

  • Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    May 02, 2018 14:55

    Polisi ya Rwanda imewatia nguvuni wakimbizi 23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini humo, kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mawe maafisa waandamizi wa polisi na serikali, waliotembelea kambi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS