-
Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri
Dec 20, 2018 23:07Tatizo la kilimwengu la wahajiri ni ukweli ambao umedhihirika wazi katika miaka ya hivi karibuni tena kwa namna ambayo haijawahi kushuhudiwa.
-
UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi
Nov 21, 2018 04:20Umoja wa Mataifa umezipongeza serikali za Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi katika shule za taifa na kuwafanya wawe na utangamano.
-
Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani
Nov 16, 2018 11:23Jeshi la Russia limetangaza habari ya kurejea nyumbani wakimbizi zaidi ya laki mbili na 70 elfu wa Syria ndani ya miezi michache iliyopita.
-
UNHCR: Watu milioni 12 duniani hawana utaifa
Nov 14, 2018 04:28Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi , UNHCR limesema kuna watu milioni 12 kote duniani ambao hawana utaifa.
-
UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC
Oct 17, 2018 11:34Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi na hali ya kibinadamu katika jimbo la Kasai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na kurejea wakimbizi wengi kutoka Angola katika wiki mbili zilizopita.
-
Watoto wa wakimbizi wanaopotea kiholela waongezeka Ujerumani
Oct 13, 2018 21:41Idadi ya watoto wa wakimbizi wanaopotea katika mazingira ya kutatanisha inazidi kuongezeka nchini Ujerumani huku idadi ya wakimbizi wanaoruhusiwa kuingia nchini humo nayo ikizidi kupungua.
-
Indhari kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha
Sep 03, 2018 09:01Mjumbe Maalumu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa katika kituo cha Mediterania ametahadharisha kuwa wahajiri hukabiliana na hatari chungu nzima wakati wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterania ili kufika Ulaya.
-
Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo
Aug 23, 2018 10:36Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelalamikia juhudi za nchi za Ulaya za kutaka kuwarejesha wakimbizi wa Kiafrika nchini Libya na kusema kuwa jambo hilo ni la kidhalimu, ni kinyume cha sheria na halikubaliki kabisa.
-
Papa aitaka jamii ya kimataifa kukomesha maafa ya wahajiri
Jul 23, 2018 03:24Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani ameitolea wito jamii ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia kukaririwa maafa ya wahajiri katika maji ya bahari ya Mediterania.
-
Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya
Jul 02, 2018 03:10Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu imesema sio salama kwa maelfu ya wakimbizi wa Rohingya wanaoshi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh kurejea makwao katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar.