Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri

    Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri

    Dec 20, 2018 23:07

    Tatizo la kilimwengu la wahajiri ni ukweli ambao umedhihirika wazi katika miaka ya hivi karibuni tena kwa namna ambayo haijawahi kushuhudiwa.

  • UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi

    UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi

    Nov 21, 2018 04:20

    Umoja wa Mataifa umezipongeza serikali za Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi katika shule za taifa na kuwafanya wawe na utangamano.

  • Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani

    Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani

    Nov 16, 2018 11:23

    Jeshi la Russia limetangaza habari ya kurejea nyumbani wakimbizi zaidi ya laki mbili na 70 elfu wa Syria ndani ya miezi michache iliyopita.

  • UNHCR: Watu milioni 12 duniani hawana utaifa

    UNHCR: Watu milioni 12 duniani hawana utaifa

    Nov 14, 2018 04:28

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi , UNHCR limesema kuna watu milioni 12 kote duniani ambao hawana utaifa.

  • UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC

    UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC

    Oct 17, 2018 11:34

    Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi na hali ya kibinadamu katika jimbo la Kasai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na kurejea wakimbizi wengi kutoka Angola katika wiki mbili zilizopita.

  • Watoto wa wakimbizi wanaopotea kiholela waongezeka Ujerumani

    Watoto wa wakimbizi wanaopotea kiholela waongezeka Ujerumani

    Oct 13, 2018 21:41

    Idadi ya watoto wa wakimbizi wanaopotea katika mazingira ya kutatanisha inazidi kuongezeka nchini Ujerumani huku idadi ya wakimbizi wanaoruhusiwa kuingia nchini humo nayo ikizidi kupungua.

  • Indhari  kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha

    Indhari kuhusu safari za wahajiri kuelekea Ulaya zenye kuhatarisha maisha

    Sep 03, 2018 09:01

    Mjumbe Maalumu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa katika kituo cha Mediterania ametahadharisha kuwa wahajiri hukabiliana na hatari chungu nzima wakati wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterania ili kufika Ulaya.

  • Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Aug 23, 2018 10:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelalamikia juhudi za nchi za Ulaya za kutaka kuwarejesha wakimbizi wa Kiafrika nchini Libya na kusema kuwa jambo hilo ni la kidhalimu, ni kinyume cha sheria na halikubaliki kabisa.

  • Papa aitaka jamii ya kimataifa kukomesha maafa ya wahajiri

    Papa aitaka jamii ya kimataifa kukomesha maafa ya wahajiri

    Jul 23, 2018 03:24

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani ameitolea wito jamii ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia kukaririwa maafa ya wahajiri katika maji ya bahari ya Mediterania.

  • Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya

    Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya

    Jul 02, 2018 03:10

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu imesema sio salama kwa maelfu ya wakimbizi wa Rohingya wanaoshi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh kurejea makwao katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS