Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC

    Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC

    Mar 10, 2018 07:44

    Kwa akali watu saba wamekufa maji wakikimbia mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Feb 23, 2018 07:41

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza maisha baada ya mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha kuikumba kambi moja ya wakimbizi magharibi mwa Uganda.

  • Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo

    Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo

    Feb 23, 2018 04:44

    Polisi ya Rwanda imeua idadi kadhaa ya wakimbiizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waliokuwa wakifanya maandamano mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa.

  • Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika

    Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika

    Feb 22, 2018 04:29

    Israel imewafunga jela Waafrika 7 raia wa Eritrea walioomba hifadhi katika utawala huo baada ya wakimbizi hao kukataa kupelekwa Rwanda kwa mabavu.

  • Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe

    Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe

    Feb 17, 2018 02:40

    Serikali ya Uingereza imetangaza azma yake ya kuwafukuza nchini humo maelfu ya wahajiri haramu raia wa Zimbabwe.

  • UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    Feb 14, 2018 07:25

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema Myanmar imeshindwa kuandaa mazingira salama ya kuruhusu kurejea kwa khiari nchini humo Waislamu wakimbizi 688,000 Warohingya waliokimbilia nchi jirani ya Bangladesh.

  • Mapigano yasababisha maelfu kukimbia makazi yao CAR

    Mapigano yasababisha maelfu kukimbia makazi yao CAR

    Feb 10, 2018 01:35

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ICRC imesema maelfu ya watu wamelazimika kukimbia na kuacha makazi yao, kutoka na kushtadi mapigano kati ya makundi hasimu ya waasi huko kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa

    Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa

    Feb 05, 2018 04:38

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuwapa ilani ya kutimuliwa maelfu ya wahajiri wa Kiafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar

    Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar

    Jan 19, 2018 13:53

    Mamia ya wakimbizi wa Kirohingya walioko nchini Bangladesh leo Ijumaa wamefanya maandamano wakipinga mpango wa kuwarejesha nchini Myanmar, ambako walikimbia mauaji na mashambulizi kutoka kwa jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.

  • Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika

    Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika

    Jan 17, 2018 02:39

    Kuendelea hali mbaya na mazingira mabovu waliyonayo wahajiri huko nchini Libya, kumeufanya Umoja wa Ulaya utangaze azma yake ya kushirikiana na Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwarejesha katika nchi zao wahajiri hususan wale walioko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS