-
Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC
Mar 10, 2018 07:44Kwa akali watu saba wamekufa maji wakikimbia mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha
Feb 23, 2018 07:41Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza maisha baada ya mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha kuikumba kambi moja ya wakimbizi magharibi mwa Uganda.
-
Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo
Feb 23, 2018 04:44Polisi ya Rwanda imeua idadi kadhaa ya wakimbiizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waliokuwa wakifanya maandamano mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa.
-
Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika
Feb 22, 2018 04:29Israel imewafunga jela Waafrika 7 raia wa Eritrea walioomba hifadhi katika utawala huo baada ya wakimbizi hao kukataa kupelekwa Rwanda kwa mabavu.
-
Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe
Feb 17, 2018 02:40Serikali ya Uingereza imetangaza azma yake ya kuwafukuza nchini humo maelfu ya wahajiri haramu raia wa Zimbabwe.
-
UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya
Feb 14, 2018 07:25Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema Myanmar imeshindwa kuandaa mazingira salama ya kuruhusu kurejea kwa khiari nchini humo Waislamu wakimbizi 688,000 Warohingya waliokimbilia nchi jirani ya Bangladesh.
-
Mapigano yasababisha maelfu kukimbia makazi yao CAR
Feb 10, 2018 01:35Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ICRC imesema maelfu ya watu wamelazimika kukimbia na kuacha makazi yao, kutoka na kushtadi mapigano kati ya makundi hasimu ya waasi huko kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa
Feb 05, 2018 04:38Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuwapa ilani ya kutimuliwa maelfu ya wahajiri wa Kiafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar
Jan 19, 2018 13:53Mamia ya wakimbizi wa Kirohingya walioko nchini Bangladesh leo Ijumaa wamefanya maandamano wakipinga mpango wa kuwarejesha nchini Myanmar, ambako walikimbia mauaji na mashambulizi kutoka kwa jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.
-
Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika
Jan 17, 2018 02:39Kuendelea hali mbaya na mazingira mabovu waliyonayo wahajiri huko nchini Libya, kumeufanya Umoja wa Ulaya utangaze azma yake ya kushirikiana na Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwarejesha katika nchi zao wahajiri hususan wale walioko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.