Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika

    Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika

    Jun 30, 2018 03:01

    Nchi tano za kaskazini mwa Afrika zimekataa mapendekezo ya viongozi wa Ulaya ya kuanzisha kambi maalumu za wahajiri katika ardhi za nchi hizo kwa ajili ya kuwapokea wahajiri wa Kiafrika.

  • UN: Migogoro yaifanya robo ya wananchi wa CAR kuwa wakimbizi

    UN: Migogoro yaifanya robo ya wananchi wa CAR kuwa wakimbizi

    May 30, 2018 03:22

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema mapigano na migogoro imeifanya asilimia 25 ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.

  • Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi

    Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi

    May 06, 2018 03:20

    Serikali ya Uganda imeutaka Umoja wa Mataifa uongeze msaada na ufadhili wake kwa ajili ya makumi ya maelfu ya wakimbizi walioko nchini humo.

  • Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    May 02, 2018 10:25

    Polisi ya Rwanda imewatia nguvuni wakimbizi 23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini humo, kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mawe maafisa waandamizi wa polisi na serikali, waliotembelea kambi yao.

  • Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC

    Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC

    Mar 10, 2018 04:14

    Kwa akali watu saba wamekufa maji wakikimbia mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Feb 23, 2018 04:11

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza maisha baada ya mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha kuikumba kambi moja ya wakimbizi magharibi mwa Uganda.

  • Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo

    Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo

    Feb 23, 2018 01:14

    Polisi ya Rwanda imeua idadi kadhaa ya wakimbiizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waliokuwa wakifanya maandamano mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa.

  • Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika

    Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika

    Feb 22, 2018 00:59

    Israel imewafunga jela Waafrika 7 raia wa Eritrea walioomba hifadhi katika utawala huo baada ya wakimbizi hao kukataa kupelekwa Rwanda kwa mabavu.

  • Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe

    Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe

    Feb 16, 2018 23:10

    Serikali ya Uingereza imetangaza azma yake ya kuwafukuza nchini humo maelfu ya wahajiri haramu raia wa Zimbabwe.

  • UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    Feb 14, 2018 03:55

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema Myanmar imeshindwa kuandaa mazingira salama ya kuruhusu kurejea kwa khiari nchini humo Waislamu wakimbizi 688,000 Warohingya waliokimbilia nchi jirani ya Bangladesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS