-
Ripoti: Ukatili uliopangwa wa walowezi wa Israel dhidi ya Wakristo umefikia kiwango cha juu
May 03, 2026 10:19Ukatili uliopangwa unaofanywa na walowezi Waisraeli dhidi ya Wakristo na jamii zisizo za Kiyahudi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu umeongezeka kwa kiasi kikubwa.
-
Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Apr 25, 2026 05:15Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Nigeria yapinga vikali vitisho vya Trump, yasema mamlaka yake ya kujitawala hayajadiliwi
Nov 02, 2025 07:11Serikali ya Nigeria imepinga vikali uingiliaji wowote wa kigeni katika mambo ya ndani ya nchi hiyo ikisisitiza kwamba "mamlaka ya kitaifa hayawezi kujadiliwa," na kwamba inachunguza matukio ya hivi karibuni na kuwafuatilia wale wote waliohusika.
-
Askofu Mkuu wa Ghana: Taswira ya Iran inaheshimiwa miongoni mwa Wakristo
Jan 05, 2025 04:23John Bonaventure Kwofie, Askofu Mkuu wa Ghana na Kiongozi wa Wakatoliki wa nchi hiyo ameeleza kuwa taswira ya Iran inaheshimiika na kuaminika miongoni mwa waumini wa Kikristo.
-
Askofu Mkuu Hanna: Ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wakristo umeongezeka kutokana na kimya cha Wamagharibi
Oct 05, 2023 04:31Atallah Hanna, Askofu Mkuu wa Wakristo wa Orthodox huko Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu (Jerusalem), amesema kwamba Wakristo wa Quds wamo hatarini zaidi kuliko hapo awali.
-
Spika wa Bunge la Iran awatakia kheri Wakristo wanapoadhimisha Krismasi
Dec 25, 2022 07:14Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewatumia ujumbe wa kheri Wakristo wa Iran na duniani kwa ujumla wakati huu wanapoadhimisha sherehe zao za Krismasi.
-
Abbas atahadharisha kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Wakristo wa Palestina
Dec 24, 2022 22:47Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa kamwe hawatauruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwalenga Wakristo katika ardhi za Palestina.
-
Papa Francis awaonya makasisi kuhusu hatari ya kutazama picha za ngono (ponografia)
Oct 27, 2022 09:46Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amewaonya makasisi na watawa kuhusu hatari ya kutazama video au picha za ngono (ponografia) mtandaoni akisema "kunadhoofisha moyo wa kipadre".
-
Raisi: Nabii Isa AS, nembo ya muqawama dhidi ya madhalimu
Jan 01, 2022 09:17Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaja Nabii Isa Masih (AS) kuwa ni nembo ya mapambano dhidi ya madhalimu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran atuma salamu za Krismasi kwa Wakristo duniani
Dec 25, 2021 05:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewatumia salamu za kheri na fanaka Wakristo kote duniani hasa Wakristo Wairani kwa munasaba wa sikukuu ya Krismasi ya kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa Masih AS.