-
Watu 30 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR
May 27, 2018 07:14Watu 30 wameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo wa Mai-Mai mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu 49 waghariki katika ajali ya boti mtoni kaskazini mwa Kongo DR
May 25, 2018 06:56Watu 49 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya boti kuzama mtoni kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa
May 22, 2018 13:45Kwa akali askari 12 wa Jeshi la Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililolenga msafara wa magari ya jeshi hilo katika wilaya ya Wanaweyn, yapata kilomita 30 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.
-
Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel
May 20, 2018 04:04Wapalestina watatu waliojeruhiwa vibaya na risasi za jeshi katili la Israel katika Ukanda wa Gaza wiki iliyopita wamefariki dunia.
-
HRW: Watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni Burundi; matokeo ya awali yatangazwa + Sauti
May 18, 2018 14:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba huko nchini Burundi.
-
Watu wawili wauawa katika shambulizi ya kujiripua mashariki mwa Libya
May 09, 2018 07:52Afisa mmoja wa ngazi za juu wa usalama wa Libya amesema kuwa, watu wawili wameuawa mashariki mwa nchi hiyo baada ya gaidi mmoja kujiripua katika kituo cha upekuzi cha "Jeshi la Taifa la Libya" linaloongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.
-
Watu wenye silaha waua watu 27 kaskazini mwa Nigeria
Apr 21, 2018 07:17Maafisa wa serikali ya Nigeria wametangaza habari ya kuuawa watu 27 katika mashambulizi ya magenge yenye silaha kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Makumi ya mamluki wa Sudan wauawa Yemen
Apr 08, 2018 07:44Makumi ya mamluki wa Sudan waliokodishwa na Saudi Arabia wameuawa na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen ndani ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi
Mar 30, 2018 15:54Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Watu 16 waripotiwa kuuawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji Nigeria
Mar 06, 2018 17:18Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya wakulima na wafugaji huko katikati mwa Nigeria.