Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu 30 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR

    Watu 30 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR

    May 27, 2018 07:14

    Watu 30 wameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo wa Mai-Mai mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 49 waghariki katika ajali ya boti mtoni kaskazini mwa Kongo DR

    Watu 49 waghariki katika ajali ya boti mtoni kaskazini mwa Kongo DR

    May 25, 2018 06:56

    Watu 49 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya boti kuzama mtoni kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    May 22, 2018 13:45

    Kwa akali askari 12 wa Jeshi la Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililolenga msafara wa magari ya jeshi hilo katika wilaya ya Wanaweyn, yapata kilomita 30 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel

    Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel

    May 20, 2018 04:04

    Wapalestina watatu waliojeruhiwa vibaya na risasi za jeshi katili la Israel katika Ukanda wa Gaza wiki iliyopita wamefariki dunia.

  • HRW: Watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni Burundi; matokeo ya awali yatangazwa + Sauti

    HRW: Watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni Burundi; matokeo ya awali yatangazwa + Sauti

    May 18, 2018 14:03

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba huko nchini Burundi.

  • Watu wawili wauawa katika shambulizi ya kujiripua mashariki mwa Libya

    Watu wawili wauawa katika shambulizi ya kujiripua mashariki mwa Libya

    May 09, 2018 07:52

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa usalama wa Libya amesema kuwa, watu wawili wameuawa mashariki mwa nchi hiyo baada ya gaidi mmoja kujiripua katika kituo cha upekuzi cha "Jeshi la Taifa la Libya" linaloongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

  • Watu wenye silaha waua watu 27 kaskazini mwa Nigeria

    Watu wenye silaha waua watu 27 kaskazini mwa Nigeria

    Apr 21, 2018 07:17

    Maafisa wa serikali ya Nigeria wametangaza habari ya kuuawa watu 27 katika mashambulizi ya magenge yenye silaha kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Makumi ya mamluki wa Sudan wauawa Yemen

    Makumi ya mamluki wa Sudan wauawa Yemen

    Apr 08, 2018 07:44

    Makumi ya mamluki wa Sudan waliokodishwa na Saudi Arabia wameuawa na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen ndani ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Mar 30, 2018 15:54

    Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Watu 16 waripotiwa kuuawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji Nigeria

    Watu 16 waripotiwa kuuawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji Nigeria

    Mar 06, 2018 17:18

    Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya wakulima na wafugaji huko katikati mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS