Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu 15 wauawa katika wimbi jipya la machafuko Kasai, DRC

    Watu 15 wauawa katika wimbi jipya la machafuko Kasai, DRC

    Feb 28, 2018 07:55

    Watu wasiopungua 15 wameuawa katika wimbi jipya la mapigano katika eneo la Kasai huko Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.

  • Makumi wauawa kwa kufyatuliwa risasi na wezi wa mifugo Nigeria

    Makumi wauawa kwa kufyatuliwa risasi na wezi wa mifugo Nigeria

    Feb 16, 2018 13:58

    Makumi ya watu wameripotiwa kuuawa kwa kufyatuliwa risasi na genge la wezi wa mifugo katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Watu kadhaa wauawa katika maandamano nchini Guinea

    Watu kadhaa wauawa katika maandamano nchini Guinea

    Feb 13, 2018 07:31

    Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kupoteza maisha katika ghasia zilizotokana na maandamano yaliyofanyika jana Jumatatu nchini Guinea Conakry.

  • Watu 9 wauwa katika mapigano Kasai, Kongo DR

    Watu 9 wauwa katika mapigano Kasai, Kongo DR

    Jan 30, 2018 16:47

    Kwa akali watu tisa wameripotiwa kuuawa katika mapigano ya siku mbili katika eneo la Kasai, huko Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.

  • Watu 43 wauawa katika ufyatulianaji risasi Marekani

    Watu 43 wauawa katika ufyatulianaji risasi Marekani

    Jan 15, 2018 07:37

    Watu wasipoungua 43 wameuawa katika kipindi cha masaa 24 nchini Marekani katika matukio ya ufyatulianaji risasi nchini humo.

  • 200 wauawa, kujeruhiwa katika ajali ya treni Afrika Kusini

    200 wauawa, kujeruhiwa katika ajali ya treni Afrika Kusini

    Jan 04, 2018 14:16

    Kwa akali watu 14 wamethibitishwa kupoteza maisha huku wengine zaidi ya 180 wakijeruhiwa katika ajali mbaya ya garimoshi iliyotokea mapema leo kati ya eneo la Kroonstad na Hennenman, katika mkoa wa Free State nchini Afrika Kusini

  • Kuendelea machafuko ya kikabila nchini Nigeria

    Kuendelea machafuko ya kikabila nchini Nigeria

    Jan 04, 2018 02:33

    Katika mashambulizi mapya ya kikabila nchini Nigeria, watu wa kabila la Fulani wameshambulia eneo la Tif na kuua zaidi ya watu 50 wa eneo hilo.

  • Watu 50 wauawa katika mapigano ya kikabila kaskazini mwa Nigeria

    Watu 50 wauawa katika mapigano ya kikabila kaskazini mwa Nigeria

    Jan 03, 2018 04:24

    Watu wasiopungua 50 wameuawa kaskazini mwa Nigeria na makumi ya wengine klujeruhiwa kufuatia mapigano ya kikabila yaliyozuka baina ya makabila mawili.

  • Kumi wauawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa, Cairo

    Kumi wauawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa, Cairo

    Dec 29, 2017 16:44

    Wizara ya Afya ya Misri imetangaza kuwa, watu 10 wakiwemo askari kadhaa wa usalama wameuawa katika hujuma ya watu waliokuwa na silaha iliyolenga kanisa moja katika eneo la Halwan kusini mwa jiji la Cairo.

  • Watu wasiopungua 6 wauawa katika mlipuko  kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu wasiopungua 6 wauawa katika mlipuko kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Dec 29, 2017 03:56

    Watu wasiopungua sita wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa muhanga lililotekelezwa sokoni katika kijiji kimoja karibu na mji wa Maiduguri jimboni Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS