Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Boko Haram yaua watu watatu nchini Cameroon

    Boko Haram yaua watu watatu nchini Cameroon

    Dec 24, 2017 15:40

    Duru za kieneo zimetangaza kuwa watu wasiopungua watatu wameuawa katika shambulio la kigaidi la kundi la wakufurishaji la Boko Haram, kaskazini mwa Cameroon.

  • Waislamu 6,700 wa Rohingya wameuawa Myanmar ndani ya mwezi mmoja pekee

    Waislamu 6,700 wa Rohingya wameuawa Myanmar ndani ya mwezi mmoja pekee

    Dec 14, 2017 15:55

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema kwa akali Waislamu 6,700 wa jamii ya Rohingya waliuliwa katika kipindi cha mwezi mmoja nchini Myanmar, tangu operesheni mpya iliyoungwa mkono na serikali ianzishwe na jeshi la nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo ya wachache.

  • Rais wa Cameroon awaonya watu wenye silaha

    Rais wa Cameroon awaonya watu wenye silaha

    Dec 02, 2017 04:13

    Rais Paul Biya wa Cameroon amewaonya watu wenye silaha wanaopigania kujitenga maeneo ya nchi hiyo yanayozungumza Kiingereza.

  • Watu 50 wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Watu 50 wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Nov 29, 2017 16:21

    Watu wasiopungua 50 wameripotiwa kuuawa leo huko Sudan Kusini baada ya kutokea mapigano ya kikabila katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Wamarekani wazidi kupigana risasi kiholela, makumi wauawa na kujeruhiwa

    Wamarekani wazidi kupigana risasi kiholela, makumi wauawa na kujeruhiwa

    Nov 17, 2017 04:10

    Watu 16 wameuawa na wengine 24 kujeruhiwa katika matukio 56 ya kupigana risasi kiholela yaliyotokea katika kipindi cha masaa 24 kwenye maeneo tofauti ya Marekani.

  • Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la jana la Boko Haram Nigeria yaongezeka

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la jana la Boko Haram Nigeria yaongezeka

    Nov 16, 2017 08:02

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la Jumatano ya jana lililofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia watu 18.

  • Wanajeshi watatu wa Minusma wauawa nchini Mali

    Wanajeshi watatu wa Minusma wauawa nchini Mali

    Oct 27, 2017 07:46

    Askari jeshi watatu wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Mali wameaga dunia baada ya bomu la kutegwa ardhini kulipuka na wengine wawili wamejeruhiwa.

  • Watu 3 wauawa katika ghasia zilizozuka baada ya imam kukamatwa Togo

    Watu 3 wauawa katika ghasia zilizozuka baada ya imam kukamatwa Togo

    Oct 17, 2017 15:08

    Kwa akali watu watatu wameuawa kwenye ghasia katika mji wa Sokode kaskazini mwa Togo, baada ya imam wa msikiti mmoja katika eneo hilo kukamatwa na maafisa wa polisi.

  • HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    Oct 16, 2017 08:17

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch na Amnesty International yamesema polisi ya Kenya imeua watu wasiopungua 50 katika maandamano ya upinzani ya kushinikiza mabadiliko kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC, kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • 8 waaga dunia na kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka Kodivaa

    8 waaga dunia na kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka Kodivaa

    Oct 15, 2017 07:54

    Raia wanne wa Moldova wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya ndege ya mizigo iliyokodishwa na jeshi la Ufaransa kuanguka baharini, karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege wa mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS