-
Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar
Mar 10, 2017 14:06Kwa akali watu 16 wameaga dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Vatomandry, mashariki mwa Madagascar.
-
Mwanachama wa Daesh ajilipua katika sherehe za harusi Iraq na kuua watu 26
Mar 09, 2017 08:04Kwa akali watu 26 wameuawa papo hapo katika mripuko wa bomu uliotokea katikati ya sherehe za harusi, karibu na mji wa Tikrit, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Baghdad.
-
Watu wanne wauawa mapiganoni Kongo
Mar 06, 2017 07:48Watu wanne wameuawa katika mapigano kati ya polisi na kundi moja linaloipinga serikali huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wanajeshi kumi wa Mali wauawa na wavamizi wenye silaha
Mar 06, 2017 07:33Duru za kijeshi za Mali zimaerifu kuwa wanajeshi wasiopungua kumi wa jeshi la nchi hiyo wameuawa na watu waliokuwa na silaha.
-
Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu
Mar 05, 2017 03:54Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza kuwa zaidi ya watu 100 wamefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.
-
Waasi 20 wa M23 wauawa mashariki mwa DRC
Mar 02, 2017 15:43Waasi wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano yaliyozuka kwenye siku za hivi karibuni kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 mkoani Kivu Kaskazini.
-
Kanisa katoliki lajiunga na watetezi wa haki za binadamu, laitaka serikali kukomesha mauaji dhidi ya raia Congo
Mar 02, 2017 03:56Kanisa Katoliki la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetahadharisha kuhusu utendaji wa jeshi la serikali ya nchi hiyo katika mashambulizi yake dhidi ya wanamgambo wa kundi la Kamounia Nsap kwenye mkoa wa Kasai.
-
Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu Libya
Feb 26, 2017 16:15Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika mji wa Benghazi wa mashariki mwa Libya na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
20 wauawa katika machafuko katikati mwa Mali
Feb 26, 2017 15:31Serikali ya Mali imetangaza habari ya kuuawa watu 20 katika machafuko ya kikabila yaliyoyakumba maeneo ya katikati mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
11 wauawa katika makabiliano baina ya jeshi la Nigeria na Boko Haram
Feb 17, 2017 14:27Kwa akali watu 11 wameuawa katika makabiliano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mapema leo katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi mwa Nigeria.