Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu wasiopungua 30 wauawa Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Watu wasiopungua 30 wauawa Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Feb 11, 2017 07:30

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mji wa Tshimbulu Kasai Katikati huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia mashambulio ya kundi moja la wanamgambo.

  • Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Feb 09, 2017 07:13

    Kwa akali Wapalestina wawili wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya watano wakijeruhiwa baada ya ndege ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutekeleza hujuma ya anga katika mji wa Rafah, Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi 14 katikati mwa Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi 14 katikati mwa Sinai

    Feb 06, 2017 15:03

    Jeshi la Misri limewaangamiza magaidi 14 katika mkoa wa Sinai na kuwatia mbaroni wengine kumi kufuatia operesheni kali ya jeshji la nchi hiyo katika maeneo hayo.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Feb 06, 2017 07:47

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • 100 waaga dunia kutokana na maporomoko ya theluji Afghanistan, Pakistan

    100 waaga dunia kutokana na maporomoko ya theluji Afghanistan, Pakistan

    Feb 06, 2017 07:45

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na maporomoko ya theluji katika nchi za Afghanistan na Pakistan.

  • Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Feb 05, 2017 14:20

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha baada ya mgodi kuwaporomokea katika mkoa wa Zambézia nchini Msumbiji.

  • Pentagon yakiri kuua kwa umati watoto na wanawake wa Yemen

    Pentagon yakiri kuua kwa umati watoto na wanawake wa Yemen

    Feb 05, 2017 04:28

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imekiri kuwa wanajeshi wa nchi hiyo wamewaua kwa umati wanawake na watoto wadogo nchini Yemen.

  • Wafanyakazi 5 wa UN wauawa mpakani mwa Cameroon-Nigeria

    Wafanyakazi 5 wa UN wauawa mpakani mwa Cameroon-Nigeria

    Feb 02, 2017 05:57

    Wafanyakazi watano wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika mazingira ya kutatanisha na watu wasiojulikana katika mpaka wa Cameroon na Nigeria.

  • Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Feb 01, 2017 15:42

    Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.

  • Daesh yadai imeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri, Sinai

    Daesh yadai imeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri, Sinai

    Feb 01, 2017 07:38

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limedai kwamba limeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri kaskazini mwa eneo la Sinai.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS