Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Jan 30, 2017 15:13

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.

  • Hujuma za Marekani nchini Yemen zaua watu zaidi ya 50

    Hujuma za Marekani nchini Yemen zaua watu zaidi ya 50

    Jan 29, 2017 14:13

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la hujuma za ardhini na angani za makomandoo wa Marekani katika mkoa wa Bayda nchini Yemen.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Jan 27, 2017 13:46

    Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.

  • 11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump

    11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump

    Jan 21, 2017 08:03

    Wanachama 11 wa harakati ya Biafra nchini Nigeria wanaripotiwa kuuawa na maafisa usalama katika maandamano yaliyofanyika kusini mashariki mwa nchi.

  • Watu 37 wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Mali

    Watu 37 wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Mali

    Jan 18, 2017 16:39

    Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu karibu na kambi ya jeshi kaskazini mwa Mali leo Jumatano.

  • Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Jan 17, 2017 07:14

    Kwa akali askari polisi wanane wa Misri wameuawa kwa kufyatuliwa risasi na kundi la watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha katika kituo cha upekuzi cha Naqb, mkoa wa New Valley usiku wa kuamkia leo.

  • Makumi wauawa Kongo DR katika mapigano ya kikabila na jeshi

    Makumi wauawa Kongo DR katika mapigano ya kikabila na jeshi

    Jan 08, 2017 07:50

    Ofisi inayoshughulikia masuala ya kibinaadamu ya Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetangaza habari ya kuuawa makumi ya watu katika mapigano makali yaliyojiri katikati mwa nchi hiyo.

  • UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016

    UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016

    Jan 04, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa umesema takriban raia elfu 7 wameuawa katika mapigano na mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS mwaka uliomalizika wa 2016 nchini Iraq.

  • Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Jan 03, 2017 13:51

    Vyombo vya usalama nchini Iraq vimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul ulioko kaskazini mwa nchi.

  • 70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki

    70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki

    Jan 01, 2017 04:38

    Makumi ya watu wanaripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika klabu moja ya anasa mjini Instabul nchini Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS