-
Waandishi karibu 100 wa habari wameuawa mwaka huu wa 2016
Dec 31, 2016 15:07Federesheni ya Kimataifa ya Waandishi Habari (IFJ) imetangaza kuwa, waandishi habari 93 wameuawa kwa makusudi au katika machafuko yaliyotokea kwenye maeneo mbalimbali ya dunia katika mwaka huu unaomalizika leo wa 2016.
-
Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia
Dec 28, 2016 14:41Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.
-
Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia
Dec 12, 2016 13:57Mlipuko wa kigaidi uliotokea leo katika mji wa bandari wa Kismayo nchini Somalia umeuawa watu wanne.
-
Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria
Dec 10, 2016 03:56Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu 31 wauawa katika mapigano mapya Kongo DR
Dec 06, 2016 15:42Makumi ya watu wameuawa katika mapigano kati ya kundi la waasi na maafisa usalama kati kati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu wanane wauawa katika mapigano nchini Libya
Dec 02, 2016 07:41Kwa akali watu wanane wameripotiwa kuuawa katika mapigano mapya yaliyotokea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda
Nov 28, 2016 04:25Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.
-
Makumi wauawa DRC katika mapigano kati ya jeshi na wanamgambo wa Mai-Mai
Nov 28, 2016 04:24Watu wasiopungua 34 wanaripotiwa kuuawa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia mapigano yaliyozuka kati ya jeshi la nchi hiyo na wanamgambo wa Mai-Mai mashariki mwa nchi hiyo.
-
Polisi 61 wa Marekani wauawa katika machafuko
Nov 27, 2016 16:00Maafisa 61 usalama nchini Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi hivi sasa.
-
Watu 30 wauawa na waasi mashariki mwa Kongo DR
Nov 27, 2016 15:46Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya makundi mawili ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.