Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Afisa wa polisi Somalia auawa katika mripuko wa bomu

    Afisa wa polisi Somalia auawa katika mripuko wa bomu

    Nov 25, 2016 04:50

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Somalia ameuawa katika hujuma iliyofanywa na magaidi wanaosaidikiwa kuwa ni wanachama wa ash-Shabab.

  • Amnesty: Jeshi la Nigeria limeua wanaharakati 150 wa Biafra

    Amnesty: Jeshi la Nigeria limeua wanaharakati 150 wa Biafra

    Nov 24, 2016 13:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema wanaharakati wapatao 150 wa vuguvugu linaloshinikiza kujitenga jimbo la Biafra wameuawa na jeshi la Nigeria katika kipindi cha mwaka mmoja.

  • Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Nov 22, 2016 07:54

    Askari watano wa jeshi la Mali na raia mmoja wameuawa na genge la watu waliobeba silaha, wakati walipokuwa wakisafirisha masanduku ya kupigia kura katika mji wa Dilli.

  • Lori la mafuta laripuka na kuua watu 73 nchini Msumbiji

    Lori la mafuta laripuka na kuua watu 73 nchini Msumbiji

    Nov 18, 2016 07:56

    Zaidi ya watu 70 wamepoteza maisha baada ya lori la mafuta kuripuka katika mji wa Caphiridzange, mkoa wa Tete kaskazini mwa Msumbiji.

  • Watu 15 wauawa katika mapigano mapya Sudan Kusini

    Watu 15 wauawa katika mapigano mapya Sudan Kusini

    Nov 18, 2016 07:38

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika makabiliano mapya kati ya jeshi la serikali na waasi, katika kijiji cha Adaab el Bahr, Jimbo la Unity, nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa pamoja na Sudan.

  • Watu 31 wauawa katika mapigano ya kikabila huko katika jimbo la Kaduna, Nigeria

    Watu 31 wauawa katika mapigano ya kikabila huko katika jimbo la Kaduna, Nigeria

    Nov 15, 2016 13:45

    Duru za afya katika jimbo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria, zimearifu juu ya kujiri mapigano makali ya kikabila na kupelekea makumi ya watu kuuawa na wengine kujeruhiwa.

  • Jeshi Nigeria laua Waislamu 100 wa madhehebu ya Shia mjini Kano

    Jeshi Nigeria laua Waislamu 100 wa madhehebu ya Shia mjini Kano

    Nov 14, 2016 16:16

    Waislamu wasiopungua 100 wa madhehebu ya Shia wameuawa leo nchini Nigeria kwa kupigwa risasi na jeshi la nchi hiyo.

  • 5 wauawa katika hujuma dhidi ya msafara wa waziri DRC

    5 wauawa katika hujuma dhidi ya msafara wa waziri DRC

    Nov 14, 2016 07:56

    Kwa akali watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga msafara wa waziri katika mkoa wa Kivu Kusini, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia

    Nov 08, 2016 07:22

    Watu karibu 30 wameuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyozuka kati ya vikosi vya majimbo mawili hasimu yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia.

  • Askari 14 wa Nigeria wauawa na Boko Haram

    Askari 14 wa Nigeria wauawa na Boko Haram

    Nov 06, 2016 07:42

    Kwa akali askari 14 wa jeshi la Nigeria wameuawa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Borno.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS