-
Watu 54 wafa maji baada ya boti yao kuzama Indonesia
Nov 04, 2016 15:50Habari kutoka Indonesia zinasema kuwa, watu 54 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama karibu na kisiwa cha Batam.
-
Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan
Nov 03, 2016 16:22Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na ndege za Marekani, kaskazini mwa Afghanistan.
-
Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera
Oct 25, 2016 07:40Watu 12 wameuawa na wengine wengi kuachwa na majeraha ya risasi baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi, usiku wa jana.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq
Oct 16, 2016 14:43Watu zaidi ya 30 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoulenga mkusanyiko wa waombolezaji waliokuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Askari 15 wa Saudia waangamizwa ndani ya ardhi yao
Oct 13, 2016 08:13Kwa akali wanajeshi 15 wa Saudi Arabia wameuawa ndani ya ardhi yao na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen, katika eneo la milima la Jizan, kusini magharibi mwa Saudia.
-
Gavana wa Mombasa adai Masheikhe 24 wameuawa na serikali
Oct 09, 2016 03:02Gavana wa ODM katika kaunti ya Mombasa nchini Kenya ameikosoa vikali serikali kutokana na kukithiri mauaji ya washukiwa mbali mbali na hususan wa ugaidi na kudai kuwa vyombo vya usalama nchini humo vimeua Masheikh zaidi ya 24 katika miaka ya hivi karibuni.
-
11 wauawa, 14 watoweka katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati
Oct 06, 2016 14:23Habari kutoka Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaarifu kuwa, watu zaidi ya 11 wameuawa huku wengine 14 wakitoweka kufuatia mapigano makali yaliyojiri baada ya kuuawa mwanajeshi wa nchi hiyo ya kati kati mwa Afrika.
-
Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola
Oct 01, 2016 07:58Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.
-
Shambulio la bomu laua watu 50 na kujeruhi 100 harusini Uturuki
Aug 21, 2016 15:29Watu wasiopungua 50 wameuawa na wengine wapatao 100 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi la kujitolea mhanga lililolenga sherehe ya harusi katika mkoa wa Gaziantep ulioko kusini mashariki mwa Uturuki.
-
Jeshi la Iraq limeangamiza Madaesh 700 katika kisiwa cha Khalidiya
Aug 19, 2016 02:51Jeshi la Iraq limetangaza kuwa limefanikiwa kuangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kukomboa kisiwa cha Khalidiya, kilichopo mashariki mwa mji wa Ramadi, magharibi mwa mkoa wa Anbar.