Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Zaidi ya watu 38 wauawa mashariki mwa Libya

    Zaidi ya watu 38 wauawa mashariki mwa Libya

    Aug 17, 2016 03:57

    Baraza la Shura ya Wanamapinduzi la Benghazi limetangaza kuwa wapiganaji 38 watiifu kwa Jenerali Khalifa Haftar wameuawa katika mapigano na vikosi vitiifu kwa baraza hilo huko Benghazi mashariki mwa Libya.

  • Watu 5 wauawa katika mapigano Mali, askari 5 watoweka

    Watu 5 wauawa katika mapigano Mali, askari 5 watoweka

    Aug 10, 2016 03:38

    Kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano makali yaliyojiri kati kati ya Mali, huku duru za kiusalama zikiarifu kuwa askari watano wa serikali wametoweka baada ya kujiri mapigano hayo.

  • Raia 33 wa Yemen wauawa katika hujuma ya anga ya Saudia

    Raia 33 wa Yemen wauawa katika hujuma ya anga ya Saudia

    Aug 09, 2016 13:15

    Kwa mara nyingine tena ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimeshambulia maeneo ya makazi ya watu na kuua makumi ya raia wasio na hatia katika mikoa kadhaa ya Yemen hii leo.

  • Watu 14 wauawa katika mashambulio ya waasi mashariki mwa Kongo DR

    Watu 14 wauawa katika mashambulio ya waasi mashariki mwa Kongo DR

    Aug 08, 2016 14:43

    Watu 14 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na makundi yanayobeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kimbunga, maporomoko ya ardhi yaua 40 Mexico

    Kimbunga, maporomoko ya ardhi yaua 40 Mexico

    Aug 08, 2016 07:36

    Makumi ya watu wameuawa kufuatia kimbunga kikali, maporomoko ya ardhi na mvua zinazoendelea kunyesha mashariki mwa Mexico.

  • Magaidi 150 wa Daesh waangamizwa mashariki mwa Syria

    Magaidi 150 wa Daesh waangamizwa mashariki mwa Syria

    Aug 06, 2016 03:48

    Jeshi la Syria limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Deir Ez-Zour, mashariki mwa nchi mapema jana Ijumaa.

  • 42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya

    42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya

    Aug 03, 2016 03:57

    Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini lililolenga wanajeshi wa serikali katika mji wa Benghazi, mashariki mwa Libya.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Aug 02, 2016 07:57

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola FLEC wamedai kwamba wameua askari 17 wa nchi hiyo katika makabiliano makali yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyomalizika.

  • Askri kadhaa wa Libya wauawa katika mapigano mapya Sirte

    Askri kadhaa wa Libya wauawa katika mapigano mapya Sirte

    Jul 30, 2016 08:03

    Mapigano mapya baina ya askari wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya na genge la kigaidi la Daesh yamesababisha mauaji ya askari watano wa serikali katika mji wa Sirte, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Jul 27, 2016 04:00

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa katika operesheni kali ya jeshi la Afghanistan, katika mkoa wa Nangarhar, kaskzini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS