Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • 13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    Jul 26, 2016 16:54

    Mashambulizi pacha ya mabomu yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 13 karibu na kambi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Mogadishu.

  • Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya CAR

    Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya CAR

    Jul 25, 2016 08:08

    Kwa akali watu watatu wameuawa katika wimbi jipya la mashambulizi ya makundi ya waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mauaji ya Waislamu wa Srebrenica yakumbukwa

    Mauaji ya Waislamu wa Srebrenica yakumbukwa

    Jul 11, 2016 16:59

    Maelfu ya watu leo wameshiriki katika shughuli ya kukumbuka maelfu ya Waislamu wa Srebrenica waliouawa kinyama na Waserbia wa Bosnia Herzegovina miaka kadhaa iliyopita.

  • Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Jul 11, 2016 07:49

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Polisi 4 wa Marekani wauawa Dallas, maelfu wapinga ukatili wa polisi

    Polisi 4 wa Marekani wauawa Dallas, maelfu wapinga ukatili wa polisi

    Jul 08, 2016 08:20

    Maafisa 4 polisi ya Marekani wameuwa baada ya 11 miongoni mwao kupigwa risasi katika maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi katika mji wa Dallas, Texas.

  • Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi

    Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi

    Jul 07, 2016 14:06

    Kwa akali askari 12 wa jeshi la Libya wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Jul 06, 2016 04:31

    Watu 9 wameuawa na kundi la waasi wa ADF-Nalu wa Uganda kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • 80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq

    80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq

    Jul 03, 2016 07:22

    Watu wasiopungua 80 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Askari 6 wa Misri wauawa katika mpaka na Libya

    Askari 6 wa Misri wauawa katika mpaka na Libya

    Jul 01, 2016 08:04

    Habari kutoka Cairo, mji mkuu wa Misri zinasema kuwa, kwa akali skari 6 wa jeshi la nchi hiyo wameuawa kwenye makabiliano na kundi la watu wanaofanya magendo ya silaha na mihadarati katika mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • 18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    Jun 30, 2016 08:16

    Kwa akali watu 18 wameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mapema leo katika mji wa Lafole, kusini magharibi mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS