-
Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu
Jun 30, 2016 03:34Askari wa Kenya wamewaangamiza wanamgambo wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu.
-
Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini
Jun 29, 2016 13:23Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.
-
46 waua na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya msikiti Iraq
Jun 28, 2016 06:28Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja viungani mwa Baghdad, mji mkuu wa Iraq.
-
Mwangwi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza
Jun 18, 2016 06:30Mauaji ya Jo Cox, mbunge wa Chama cha Labour katika Bunge la Uingereza yamezusha malalamiko makubwa ndani na nje ya nchi hiyo na kulitia wahka na hofu kubwa bunge hilo.
-
Eritrea yadai kuwa imeua askari 200 wa Ethiopia
Jun 17, 2016 04:41Eritrea imedai kuwa imeua mamia ya askari wa Ethiopia katika mapigano mapya yanayoendelea katika mpaka wa nchi mbili hizo za Pembe ya Afrika.
-
HRW: Watu 400 wameuawa katika maandamano dhidi ya serikali Ethiopia
Jun 16, 2016 15:31Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mamia ya watu wameuawa katika maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya Ethiopia, kuanzia Novemba mwaka jana hadi sasa.
-
Mauaji ya kutisha Orlando, Marekani
Jun 13, 2016 07:54Watu wasiopungua 50 wameuawa na wengine 53 kujeruhiwa katika ufyatuaji wa risasi uliotokea katika jimbo la Florida nchini Marekani.
-
Raia 30 wauawa katika hujuma ya Daesh nchini Iraq
Jun 11, 2016 07:06Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa wimbi la hujuma za kitatili na za ulipizaji kisasi za Daesh (ISIS), wanachama wa kundi la hilo la kigaidi na kitakfiri wamewaua kwa kufyatulia risasi raia zaidi ya 30 magharibi mwa mji wa Fallujah, mkoa wa al-Anbar.
-
AMISOM yaangamiza wanachama 110 wa al-Shabaab Somalia
Jun 09, 2016 14:10Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimesema askari wake wamefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab walipojaribu kushambulia moja ya kambi zao.
-
Jeshi la Niger laangamiza wanachama 12 wa Boko Haram
May 29, 2016 14:17Jeshi la Niger limetangaza kuwa limeangamiza wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika kijiji cha Bosso, kusini mashariki mwa eneo la Diffa karibu na mpaka na Nigeria.