Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia

    Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia

    May 25, 2016 14:33

    Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limetangaza habari ya kuangamizwa wanachama 21 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hawina nchini Somalia.

  • Daesh yaua raia 16 wa Ethiopia nchini Libya

    Daesh yaua raia 16 wa Ethiopia nchini Libya

    May 12, 2016 06:50

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limetoa kanda mpya ya video ya kuogofya inayoonyesha namna magaidi hao wanavyowaua kinyama raia wa Ethiopia nchini Libya.

  • Makumi wapoteza maisha kutokana na athari za mvua Ethiopia

    Makumi wapoteza maisha kutokana na athari za mvua Ethiopia

    May 11, 2016 07:05

    Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Ethiopia.

  • Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu 20 Rwanda

    Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu 20 Rwanda

    May 09, 2016 03:40

    Kwa akali watu 20 wameaga dunia na wengine kadhaa kuachwa bila makazi kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini Rwanda.

  • Walioaga dunia kwenye mkasa wa kuporomoka jengo Nairobi, Kenya wafikia 49

    Walioaga dunia kwenye mkasa wa kuporomoka jengo Nairobi, Kenya wafikia 49

    May 08, 2016 15:08

    Habari kutoka Nairobi, mji mkuu wa Kenya zinasema idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye mkasa wa kuporomoka jengo mtaani Huruma jijini hapo imefikia watu 49, huku familia 191 zilizoathirika zikipewa hifadhi na shirika la Msalaba Mwekundu.

  • Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    May 06, 2016 14:03

    Watu watano wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini la kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Misrata, magharibi mwa Libya.

  • Mtoto wa miezi 6 apatikana hai baada ya siku 3 katika jengo lililoporomoka Nairobi

    Mtoto wa miezi 6 apatikana hai baada ya siku 3 katika jengo lililoporomoka Nairobi

    May 03, 2016 16:32

    Habari kutoka Kenya zinasema kuwa, mtoto wa miezi sita amepatikana akiwa hai bila kujeruhiwa kwenye vifusi vye jengo lililoporomoka katika mtaa wa Huruma jijini Nairobi siku tatu zilizopita.

  • Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    May 03, 2016 16:30

    Makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni yameshambulia hospitali na maeneo kadhaa ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali katika mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria na kusababisha mauaji ya watu wasiopungua 19.

  • Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    May 02, 2016 04:03

    Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.

  • Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq

    Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq

    May 01, 2016 14:29

    Kwa akali watu 38 wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa kwenye magari katika mji wa Samawa, kusini mwa Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS