Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    May 01, 2016 14:09

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeua askari 15 wa jeshi la Somalia sanjari na kuchukua udhibiti wa mji wa Runirgood, yapata kilomita 180 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Serikali: Mripuko wa kipindupindu umeua watu 45 Zanzibar

    Serikali: Mripuko wa kipindupindu umeua watu 45 Zanzibar

    Apr 28, 2016 15:15

    Wizara ya Afya ya Zanzibar imesema kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mripuko wa kipindupindu tangu mwezi uliopita wa Machi hadi sasa.

  • Watu 11 wauwa kwa kupigwa risasi Cape Verde

    Watu 11 wauwa kwa kupigwa risasi Cape Verde

    Apr 27, 2016 14:32

    Watu 11 wakiwemo askari wanane wameuawa kwa kufyatuliwa risasi viungani mwa mji mkuu wa kisiwa cha Cape Verde.

  • Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Apr 21, 2016 15:23

    Watu wanne wameuawa katika matukio mawili tofauti katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kulipiza kisasi kati ya maafisa wa serikali na waasi nchini Burundi.

  • Zaidi ya 100 waaga dunia katika wimbi la joto kali nchini India

    Zaidi ya 100 waaga dunia katika wimbi la joto kali nchini India

    Apr 21, 2016 15:22

    Watu zaidi ya 100 wamepoteza maisha kutokana na joto kali nchini India, ambalo limepelekea kufungwa mashule na kukwamisha shughuli mbalimbali za kila siku.

  • Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Apr 19, 2016 07:56

    Makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.

  • Mapigano ya polisi na raia yaua watu kadhaa Congo DR

    Mapigano ya polisi na raia yaua watu kadhaa Congo DR

    Apr 18, 2016 04:48

    Mapigano yaliyotokea baina ya polisi na raia wa kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha mauaji ya watu kadhaa.

  • Ethiopia: Wabeba silaha wa Sudan Kusini wameua raia wetu 140

    Ethiopia: Wabeba silaha wa Sudan Kusini wameua raia wetu 140

    Apr 17, 2016 13:29

    Serikali ya Ethiopia imesema raia wake 140 wameuawa na kundi la wabeba silaha kutoka Sudan Kusini katika jimbo la Gambela katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • Mitetemeko ya ardhi yaitikisa kusini mwa Japan, zaidi ya 16 waaga

    Mitetemeko ya ardhi yaitikisa kusini mwa Japan, zaidi ya 16 waaga

    Apr 16, 2016 07:55

    Zilzala ya pili yenye ukubwa wa 7.3 kwa kipimo cha rishta imeutikisa mji wa Kumamoto, katika kisiwa cha Kyushu eneo la kusini mwa Japan mapema leo na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 16 huku mamia ya wengine wakijeruhiwa na wengine wengi kuachwa bila makazi.

  • Makumi waaga dunia kutokana na homa ya manjano DRC

    Makumi waaga dunia kutokana na homa ya manjano DRC

    Apr 13, 2016 07:08

    Mripuko wa homa ya manjano umesababisha vifo vya watu wasiopungua 21 katika Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS