-
UN yatahadharisha kuhusu maafa ya mabomu ya kutegwa ardhini duniani
Apr 04, 2016 16:33Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu wasiopungua 10 hufariki dunia kila siku kutokana na kulipuka kwa mabomu ya kutengwa ardhi katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Makumi ya magaidi wa Boko Haram wauawa Nigeria
Mar 29, 2016 04:22Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa nchini Nigeria.
-
Umoja wa Mataifa watakiwa kuchunguza mauaji yanayofanywa dhidi ya Wapalestina
Mar 29, 2016 04:21Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeutaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kidhalimu yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Kamanda wa jeshi la Burundi auawa kwa kupigwa risasi
Mar 23, 2016 03:06Kamanda mmoja wa jeshi la Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
-
Idadi ya waliokufa baada ya jengo kuporomoka Nigeria yapindukia 30
Mar 10, 2016 08:01Idadi ya waliopoteza maisha baada ya jengo lenye ghorofa 5 kuporomoka katika mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos imepindukia 30.
-
Watu wasiopungua 30 wauawa katika mapigano kusini mwa Tunisia
Mar 07, 2016 16:18Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya jeshi la Tunisia na magaidi yaliyotokea kwenye mji Ben Guerdan ulioko karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Libya.
-
Jumuya za kutetea haki za binadamu zataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya wanakijiji Congo
Feb 29, 2016 07:43Jumuiya mbalimbali zisizo za serikali zimetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wanakijiji huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Al Shabab yashambulia tena ikulu ya Rais Somalia
Feb 26, 2016 02:02Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ikulu ya Rais wa Somalia na kuua watu kadhaa.
-
Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi
Feb 22, 2016 16:36Mlipuko uliotokea mapema leo mjini Bujumbura umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Huffington Post: Idadi ya wanawake wakazi asili wa Canada waliouawa ni kubwa zaidi
Feb 19, 2016 03:39Gazeti la Marekani la The Huffington Post limeripoti kuwa idadi ya wanawake asilia wa Canada waliouawa au kutoweka ni kubwa zaidi ya takwimu zilizokadiriwa hapo awali.