Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Upinzani Ethiopia wataka kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Upinzani Ethiopia wataka kufanyika mazungumzo ya kitaifa

    Jan 25, 2018 03:00

    Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Ethiopia ametoa wito wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa kuhusu mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.

  • Ethiopia yamuachia huru kinara wa upinzani, wafungwa 115

    Ethiopia yamuachia huru kinara wa upinzani, wafungwa 115

    Jan 17, 2018 15:07

    Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Ethiopia ambaye alikuwa gerezani ameachiwa huru, ikiwa ni jitihada za serikali za kutekeleza ahadi yake ya kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa.

  • Kuuawa zaidi ya Wabaharain 200 kunatokana na ukandamizaji wa utawala wa Bahrain na kimya cha jamii ya kimataifa

    Kuuawa zaidi ya Wabaharain 200 kunatokana na ukandamizaji wa utawala wa Bahrain na kimya cha jamii ya kimataifa

    Jan 15, 2018 03:17

    Sheikh Mortadha al-Sandi, Kiongozi wa Harakati ya Wafa Al-Islami ya nchini Bahrain, sambamba na kubainisha kwamba utawala wa Aal-Khalifa unalipiza kisasi cha kisiasa dhidi ya wanamapinduzi wa nchi hiyo amesema kuwa, hadi sasa zaidi ya wanaharakati 200 wa nchi hiyo wameuawa kupitia ukandamizaji wa watawala dhidi ya wapinzani wao.

  • Upinzani Gabon wapinga kuondolewa kikomo cha mihula ya urais

    Upinzani Gabon wapinga kuondolewa kikomo cha mihula ya urais

    Jan 13, 2018 03:44

    Vyama vya upinzani nchini Gabon vimepinga vikali hatua ya Bunge la nchi hiyo ya kuifanyia marekebisho katiba, kwa lengo la kumuondolea visiki njiani Rais Ali Bongo wa nchi hiyo ili aendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi

    Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi

    Jan 06, 2018 08:14

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amewataka wananchi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutoshiriki uchaguzi mkuu ujao, na badala yake waunge mkono jitihada zake za kutamatisha utawala wa Rais Yoweri Kaguta Museveni.

  • Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha

    Dec 07, 2017 15:00

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya ametahadharisha kuhusu mpango wowote wa kumuapisha kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga kama 'rais wa watu' wiki ijayo.

  • Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN

    Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN

    Nov 29, 2017 08:22

    Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema ataapishwa kuwa rais 'halali' wa Kenya Disemba 12, wakati nchi hiyo itakuwa inaadhimisha Siku ya Jamhuri.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Burundi kuanza leo Arusha, Tanzania

    Duru mpya ya mazungumzo ya Burundi kuanza leo Arusha, Tanzania

    Nov 27, 2017 03:02

    Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi inaanza leo Jumatatu huko Arusha, kaskazini mwa Tanzania, na itaendelea hadi Disemba 8.

  • Kenyatta amualika Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake

    Kenyatta amualika Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake

    Nov 25, 2017 04:22

    Rais Uhuru Kenyatta amemualika 'ndugu yake' Raila Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake zikatazofanyika katika mji mkuu Nairobi Jumanne ijayo ya Novemba 28.

  • Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Nov 16, 2017 16:10

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye yuko katika ncha ya kuuzuliwa amekataa kuachia madaraka akisisitiza kuwa yeye ndiye kiongozi halali wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS