Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Ruto: Uchaguzi mwingine Kenya utafanyika 2022, wala sio ndani ya siku 90

    Ruto: Uchaguzi mwingine Kenya utafanyika 2022, wala sio ndani ya siku 90

    Oct 30, 2017 08:04

    Naibu wa Rais wa Kenya amesema uchaguzi mwingine wa rais utafanyika mwaka 2022 kwa mujibu ya miongozo ya Katiba na Sheria za Uchaguzi na wala sio ndani ya siku 90 kama anavyoshinikiza kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga.

  • Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya uliogubikwa na wingu la ususiaji wa wapinzani

    Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya uliogubikwa na wingu la ususiaji wa wapinzani

    Oct 27, 2017 15:09

    Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya ulifanyika hapo jana huku ukiwa umesusiwa na wapinzani wa serikali sambamba na kushuhudiwa mivutano ya kisiasa na hali ya wasiwasi nchini humo.

  • Wakenya washiriki uchaguzi wa rais wa marudio uliosusiwa na upinzani

    Wakenya washiriki uchaguzi wa rais wa marudio uliosusiwa na upinzani

    Oct 26, 2017 08:11

    Wananchi wa Kenya waliotimiza masharti ya kupiga kura wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki uchaguzi wa marudio wa urais, ambao umesusiwa na viongozi na wafuasi wa upinzani.

  • Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 26, 2017 08:07

    Wabunge wanane wa upinzani wamerejesha kwenye hazina ya serikali fedha walizopokea kwa ajili ya kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Odinga: Wafuasi wetu wasiandamane siku ya uchaguzi wa marudio

    Odinga: Wafuasi wetu wasiandamane siku ya uchaguzi wa marudio

    Oct 24, 2017 15:05

    Kinara wa muungano wa upinzani NASA nchini Kenya amewataka wafuasi wa mrengo huo kutofanya maandamano wakati wa uchaguzi wa marudio wa urais unaotazamiwa kufanyika Alkhamisi wiki hii.

  • Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Oct 20, 2017 07:30

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine sita wakiachwa na majeraha ya risasi na kulazwa hospitalini katika wilaya ya Rukungiri, kufuatia ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga mpango wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini Uganda.

  • Wapinzani Sudan Kusini wameituhumu serikali kuushambulia mji wa Aburok

    Wapinzani Sudan Kusini wameituhumu serikali kuushambulia mji wa Aburok

    Sep 14, 2017 03:54

    Wapinzani nchini Sudan Kusini wamevituhumu vikosi vya serikali kuwa vimeushambulia mji unaowahifadhi maelfu ya wakimbizi.

  • Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Sep 09, 2017 07:57

    Vyama vitatu vya upinzani nchini Angola vimewasilisha malalamiko mahakamani dhidi ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo hivi karibuni, ambapo chama tawala cha MPLA kilitangazwa kuibuka mshindi.

  • Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Sep 09, 2017 07:42

    Kiongozi wa upinzani nchini Togo amesema maandamano ya wapinzani dhidi ya serikali ya nchi hiyo yataendelea kushuhudiwa madhali Rais Faure Gnassingbe wa nchi hiyo ataendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Juhudi za wapinzani wa serikali Afrika Kusini za kumuondoa madarakani Jacob Zuma

    Juhudi za wapinzani wa serikali Afrika Kusini za kumuondoa madarakani Jacob Zuma

    Sep 06, 2017 10:15

    Vyama vya upinzani nchini Afrika Kusini vimeanzisha mikakati mipya ya kumsaili na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma kwa kuwasilisha mashtaka katika Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS