-
Upinzani Afrika Kusini waanzisha jitihada mpya za kumuuzulu Zuma
Sep 06, 2017 03:41Vyama vya upinzani nchini Afrika Kusini vimeanzisha jitihada mpya za kumuondoa madarakani Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ambaye tayari anaandamwa na kesi chungu nzima za ufisadi na utumiaji mbaya wa mamlaka.
-
Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti
Sep 05, 2017 13:59Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema muungano wa upinzani wa NASA hautashiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 17 iwapo masharti waliyoyatoa hayatatekelezwa.
-
Wito wa serikali ya DRC kwa wapinzani wa kushiriki katika mazungumzo
Sep 04, 2017 12:47Kufuatia kushadidi mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Waziri wa Uchumi wa nchi hiyo amewaita wapinzani wa nchi hiyo katika meza ya mazungumzo ili kujaribu kutatua hitilafu zilizoko kati ya pande mbili hizo.
-
Serikali ya DRC yawaita wapinzani katika meza ya mazungumzo
Sep 04, 2017 04:20Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewaita wapinzani wa nchi hiyo katika meza ya mazungumzo ili kujaribu kutatua hitilafu zilizoko kati ya pande mbili hizo.
-
Kiongozi wa upinzani Zambia: Hatufikirii kulipiza kisasi
Aug 30, 2017 03:14Kiongozi wa mrengo wa upinzani huko Zambia jana aliahidi kuwa hana lengo la kulipiza kisasi kufuatia hukumu aliyopewa ya kifungo cha miezi minne jela kwa tuhuma za kutenda jinai.
-
Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake
Aug 27, 2017 07:39Kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola ameitaka tume ya uchaguzi nchini humo kutoa ufafanuzi na maelezo ya kina kuhusu namna ilivyokipa ushindi wa kishindo chama tawala nchini humo.
-
Upinzani Kenya kuieleza mahakama jinsi teknolojia ilivyowezesha wizi wa kura
Aug 22, 2017 15:30Mrengo wa upinzani nchini Kenya umesema kuwa utathibitisha mbele ya Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo kwamba teknolojia ilifanikisha kuliko kuzuia wizi wa kura wakati wa uchaguzi mkuu nchini humo hivi karibuni, ikiwa ni katika juhudi za mrengo huo za kutaka kubadilisha kura alizoshinda Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi huo uliofanyika mwanzoni mwa mwezi huu.
-
Kiongozi wa upinzani wa Zambia aachiwa huru, afutiwa kesi ya uhaini
Aug 16, 2017 14:21Kinara wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema ameachiwa huru na kutoka gerezani hii leo baada ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma kumfutia mashtaka ya uhaini.
-
Odinga kutoa ushahidi wa wizi wa kura leo, kutangaza hatua atakayochukua
Aug 15, 2017 07:41Aliyekuwa mgombea wa urais wa muungano wa upinzani wa NASA katika uchaguzi mkuu wa wiki jana nchini Kenya, Raila Odinga anatazamiwa kutoa ushahidi wa kuyapa nguvu madai yake kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais yalichakachuliwa.
-
Zambia kumuachia huru kiongozi wa upinzani, kumfutia mashtaka ya uhaini
Aug 13, 2017 14:01Serikali ya Zambia inatazamiwa kumfutia mashitaka ya uhaini sambamba na kumuachia huru kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo, Hakainde Hichilema.