-
Kundi la G7 lapokea vizuri juhudi za Iran za kutafuta suluhisho la kisiasa la migogoro
Apr 11, 2017 23:25Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi saba za viwanda duniani maarufu kwa jina la kundi la G7 wamepokea vizuri juhudi za Iran za kuitafutia utatuzi wa kisiasa migogoro wa Mashariki ya Kati
-
Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia
Apr 11, 2017 00:56Mbunge mmoja nchini Russia amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kuonya kuwa hujuma hiyo yamkini ikaibua vita vya nyuklia duniani.
-
Marekani: Tupo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kuwalinda marafiki zetu
Feb 17, 2017 01:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, ikiwa italazimu, Washington ipo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kwa ajili ya kuwalinda marafiki zake wa Japan na Korea Kusini.
-
Korea Kaskazini yamwandikia barua katibu mkuu mpya kushitakia vikwazo
Jan 07, 2017 12:18Serikali ya Korea Kaskazini imemwandikia barua António Guterres, Katibu Mkuu Mpya wa Umoja wa Mataifa ikilalamikia hatua ya kuongezwa vikwazo vya umoja huo dhidi yake.
-
Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia
Dec 27, 2016 11:13Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa New York wakikosoa wito uliotolewa hivi karibuni na Rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump wa kutaka kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa nchi hiyo.
-
Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani
Dec 24, 2016 03:59Rais mteule wa Marekani, Donald Trump Alkhamisi ya jana alitangaza kuwa, nchi hiyo inapaswa kuimarisha zaidi uwezo wake wa silaha za nyuklia maadamu ulimwengu haujapata mwelekeo wa kimantiki kuhusu silaha za atomiki.
-
Marekani: Uamuzi wa Iran wa kutengeneza vifaa endeshi vya nyuklia haukiuki JCPOA
Dec 14, 2016 04:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekania amesema kuwa agizo lililotolewa na Rais wa Iran kuhusu vifaa endeshi vya nyuklia halikiuki makubaliano ya JCPOA.
-
Iran yaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia
Dec 10, 2016 23:38Naibu wa Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
IAEA yathadharisha kuhusu uwezekano wa kushambuliwa taasisi za nyuklia
Dec 06, 2016 00:06Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametahadharisha kuhusu hatari ya kushambuliwa taasisi za nyuklia.
-
Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia
Dec 03, 2016 04:24Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wabunge wanaandaa hoja ya dharura wa kujadiliwa haraka na nje ya utaratibu wa kawaida wa kuanzisha tena shughuli za nyuklia kwa lengo la kukabiliana na hatua dhidi ya Iran iliyochukuliwa na Kongresi ya Marekani.