Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Wabunge wa Iran wakusanya sahihi kumsihi Zarif asijiuzulu

    Wabunge wa Iran wakusanya sahihi kumsihi Zarif asijiuzulu

    Feb 27, 2019 08:00

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wameanza kukusanya sahihi kwa shabaha ya kumuomba Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran aghairi msimamo wake wa kujiuzulu.

  • Iran yakosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Iran yakosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Feb 18, 2019 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa sera za nchi za Magharibi za uuzaji silaha na vigezo vya haki za binadamu vilivyojaa undumakuwili.

  • Zarif: Vikwazo haviwezi kutenganisha wananchi wa Iran na serikali yao

    Zarif: Vikwazo haviwezi kutenganisha wananchi wa Iran na serikali yao

    Feb 13, 2019 07:39

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashinikizo na vikwazo vya Marekani na nchi za Magharibi kwa ujumla vimeshindwa kulipigisha magoti taifa la Iran na kwamba katu njama hizo haziwezi kuwatenganisha Wairani na serikali yao.

  • Zarif: Iran haitazisubiri nchi za Ulaya katika mabadilishano ya kifedha

    Zarif: Iran haitazisubiri nchi za Ulaya katika mabadilishano ya kifedha

    Feb 05, 2019 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema katika suala la mabadilishano ya kifedha, Iran haitazisubiri nchi za Ulaya. Aidha amesisitiza kuwa, mfumo uliozinduliwa wa kuunga mkono mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Ulaya ni wa majaribio na inasubiriwa kuona ni vipi nchi za Ulaya zinalipa uzito suala hilo.

  • Kumalizika safari ya Zarif nchini Iraq; dhihirisho la urafiki kuanzia Baghad hadi Arbil

    Kumalizika safari ya Zarif nchini Iraq; dhihirisho la urafiki kuanzia Baghad hadi Arbil

    Jan 18, 2019 11:13

    Safari ya siku tano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Baghdad na kukutana kwake na viongozi wa serikali kuu mjini Baghdad na wa eneo la Kurdistan nchini humo ni ishara inayodhihirisha wazi kwamba uhusiano wa nchi mbili hizi jirani ni wa kirafiki.

  • Zarif: Kongamano lijalo la Marekani dhidi ya Iran huko Poland ni sarakasi

    Zarif: Kongamano lijalo la Marekani dhidi ya Iran huko Poland ni sarakasi

    Jan 12, 2019 07:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu amesema mkutano wa Marekani na waitifaki wake dhidi ya Iran unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao katika mji mkuu wa Poland, Warsaw ni mwendelezo wa michezo ya kuigiza na sarakasi za Wasington.

  • Marekani; sababu kuu ya ukosefu wa amani katika Mashariki ya Kati

    Marekani; sababu kuu ya ukosefu wa amani katika Mashariki ya Kati

    Jan 11, 2019 01:13

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kadiri Wamarekani watakavyoondoka haraka nchini Syria ndivyo itakavyokuwa bora kwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Zarif: Kilichosalia ni utawala wa Trump na utawala wa Israeli kujiondoa katika sayari ya dunia

    Zarif: Kilichosalia ni utawala wa Trump na utawala wa Israeli kujiondoa katika sayari ya dunia

    Jan 02, 2019 07:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uamuzi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kujiondoa rasmi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNSECO) na kusema kitu pekee kilichobakia sasa ni kujiondoa kwao katika sayari ya dunia.

  • Zarif: Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake

    Zarif: Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake

    Dec 15, 2018 14:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitiza kwa mara nyingine kuwa, Iran haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake ya kujihami.

  • Marekani na waitifaki wake; wabebaji dhima na masuulia ya matatizo ya Mashariki ya Kati

    Marekani na waitifaki wake; wabebaji dhima na masuulia ya matatizo ya Mashariki ya Kati

    Dec 14, 2018 16:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Si Iran, bali ni Marekani na waitifaki wake ndio wahusika na wabeba dhima ya masaibu na matatizo yaliyolikumba eneo la Mashariki ya Kati, kuanzia yale yaliyosababishwa na Saddam mpaka yaliyoletwa na kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS