Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Marekani: Vikwazo dhidi ya Zimbabwe vitaendelea kuwepo

    Marekani: Vikwazo dhidi ya Zimbabwe vitaendelea kuwepo

    Sep 14, 2018 15:45

    Serikali ya Marekani haitaondoa vikwazo ilivyoiwekea Zimbabwe hadi pale serikali mpya ya Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo itakapodhihirisha kuwa inabadili mielekeo yake. Hayo yameelezwa na afisa wa ngazi ya juu wa masuala ya uchumi wa Marekani.

  • Polisi ya Zimbabwe yapiga marufuku mikusanyiko mjini Harare baada ya kuenea kipindupindu

    Polisi ya Zimbabwe yapiga marufuku mikusanyiko mjini Harare baada ya kuenea kipindupindu

    Sep 13, 2018 07:41

    Polisi ya Zimbabwe imepiga marufuku mikusanyiko ya aina yoyote ile katika mji mkuuu Harare baada ya kipindipindu kusambaa mjini humo na kuua watu wasiopungua 21 hadi sasa.

  • Zimbabwe yatangaza hali ya hatari baada ya kuzuka kipindupindu katika mji mkuu Harare

    Zimbabwe yatangaza hali ya hatari baada ya kuzuka kipindupindu katika mji mkuu Harare

    Sep 12, 2018 03:53

    Serikali ya Zimbabwe imetangaza hali ya hatari baada ya kuibuka maradhi ya kipindupindu katika mji mkuuu Harare.

  • Waba waua watu 18 nchini Zimbabwe

    Waba waua watu 18 nchini Zimbabwe

    Sep 11, 2018 10:11

    Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Afya wa mji mkuu wa Zimbabwe, Harare ametangaza kuwa mlipuko wa magonjwa ya kipindupindu na homa ya matumbo umeua watu wasiopungua 18 katika jiji hilo katika wiki moja iliyopita.

  • Kipindupindu chaua watu 16 katika mji mkuu wa Zimababwe, Harare

    Kipindupindu chaua watu 16 katika mji mkuu wa Zimababwe, Harare

    Sep 11, 2018 07:13

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Huduma za Afya na Tiba katika mji mkuu wa Zimbabwe, Harare amesema watu wasiopungua 16 wamefariki dunia wiki iliyopita kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

  • UN: Msaada wa haraka unahitajika kwa waathirika wa baa la njaa Zimbabwe

    UN: Msaada wa haraka unahitajika kwa waathirika wa baa la njaa Zimbabwe

    Sep 03, 2018 14:11

    Msemaji wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) amesema kuwa shirika hilo linahitajia msaada wa haraka wa zaidi ya tani milioni moja za chakula kwa ajili ya raia walioathiriwa na baa la njaa nchini Zimbabwe.

  • Mahakama Zimbabwe yatupilia mbali madai ya wapinzani, yaidhinisha ushindi wa Mnangagwa kama rais

    Mahakama Zimbabwe yatupilia mbali madai ya wapinzani, yaidhinisha ushindi wa Mnangagwa kama rais

    Aug 24, 2018 14:42

    Mahakama ya Katiba nchini Zimbabwe imetupilia mbali kesi iliyokuwa imefunguliwa na wapinzani na kumuidhinisha Emmerson Mnangagwa kama rais wa nchi hiyo. Chama kikuu cha upinzani cha MDC kilikuwa kimepinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika mwezi uliopita wa Julai kwa madai ya kuwepo wizi wa kura.

  • Mbivu mbichi kujulikana leo Zimbabwe kuhusu ushindi wa Rais Emmerson Mnangagwa

    Mbivu mbichi kujulikana leo Zimbabwe kuhusu ushindi wa Rais Emmerson Mnangagwa

    Aug 24, 2018 08:20

    Raia wa Zimbabwe wana shauku kubwa ya kujua hukumu inayotazamiwa kutolewa na Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo kuhusu kesi iliyowasilisha na kiongozi wa upinzani, Nelson Chamisa kupinga ushindi wa Rais Emmersom Mnangagwa katika uchaguzi uliofanyika Julai 30 mwaka huu.

  • Mbunge wa Uganda Bobi Wine kufikishwa katika mahakama ya kijeshi leo

    Mbunge wa Uganda Bobi Wine kufikishwa katika mahakama ya kijeshi leo

    Aug 23, 2018 04:47

    Mbunge wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi kwa jina maarufu Bobi Wine leo anatarajiwa kurudishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Gulu kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Katiba Zimbabwe yaanza kusikiliza kesi kuhusu uchaguzi wa rais

    Mahakama ya Katiba Zimbabwe yaanza kusikiliza kesi kuhusu uchaguzi wa rais

    Aug 22, 2018 07:53

    Mahakama ya Katiba nchini Zimbabwe inaanza kusikiliza leo, kesi ya chama kikuu cha upinzani MDC kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais Emmerson Mnangangwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS