Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Zimbabwe katika jitihada za kuzuia kuenea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

    Zimbabwe katika jitihada za kuzuia kuenea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

    Oct 23, 2023 12:40

    Serikali ya Zimbabwe imetangaza kuchukua hatua za kudhibiti kuenea ugonjwa wa kipindupindu nchini humo ambapoo hadi sasa watu 5,000 wamepata maambukizi tangu mwezi Februari mwaka huu.

  • Rais Mnangagwa wa Zimbabwe ashinda muhula wa pili, upinzani wakataa matokeo

    Rais Mnangagwa wa Zimbabwe ashinda muhula wa pili, upinzani wakataa matokeo

    Aug 27, 2023 03:44

    Rais Emmerson Dambudzo Mnangagwa wa Zimbabwe ameshinda muhula wa pili na wa mwisho wa urais katika matokeo yaliyokataliwa na upinzani na kutiliwa shaka na waangalizi wa kieneo na kimataifa.

  • SADC, EU: Uchaguzi wa Zimbabwe umekumbwa na kasoro nyingi

    SADC, EU: Uchaguzi wa Zimbabwe umekumbwa na kasoro nyingi

    Aug 26, 2023 06:41

    Huku wananchi wa Zimbabwe wakiendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumatano iliyopita na kuendelea mpaka Alkhamisi, timu za uangalizi wa uchaguzi huo zimetilia shaka mwenendo wa zoezi hilo la kidemorasia, zikisisitiza kuwa uchaguzi huo umekumbwa na dosari na wizi za kura.

  • Kinara wa upinzani Zimbabwe: Uchaguzi umegubikwa na udanganyifu

    Kinara wa upinzani Zimbabwe: Uchaguzi umegubikwa na udanganyifu

    Aug 24, 2023 07:12

    Mgombea wa chama kikuu cha upinzani katika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa amesema zoezi hilo la jana limekumbwa na kasoro nyingi na udanganyifu mkubwa, na kuna njama za kuchakachua matokeo ya uchaguzi huo.

  • Wananchi wa Zimbabwe wapiga kura kuchagua rais na wabunge

    Wananchi wa Zimbabwe wapiga kura kuchagua rais na wabunge

    Aug 23, 2023 10:20

    Wananchi wa Zimbabwe waliotimiza masharti ya kupiga kura, mapema leo Jumatano wamelekea katika vituo vya kupigia kura kushiriki uchaguzi utakaoamua iwapo Rais wa sasa Emmerson Mnangagwa atashinda muhula wake wa pili na wa mwisho au la.

  • Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Jul 14, 2023 12:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesisitiza haja ya kukuza uhusiano na mataifa ya Afrika, akilielezea bara hilo kama ardhi ya fursa na kwamba uwezo wake haupasi kupuuzwa.

  • Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari ya Rais wa Iran barani Afrika

    Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari ya Rais wa Iran barani Afrika

    Jul 14, 2023 02:14

    Rais Ibrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu jana Alkhamisi aliwasili Harare mji mkuu wa Zimbabwe ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo akiwemo mwenyeji wake, Rais Emerson Mnangagwa.

  • Rais wa Iran awasili Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari yake ya kiduru Afrika

    Rais wa Iran awasili Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari yake ya kiduru Afrika

    Jul 13, 2023 10:01

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewesili Harare mji mkuu wa Zimbabwe kikiwa ni kituo chache cha tatu na cha mwisho katika safari yake hii ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika.

  • Rais Raisi: Iran na Zimbabwe zimeazimia kuendeleza biashara

    Rais Raisi: Iran na Zimbabwe zimeazimia kuendeleza biashara

    Jul 13, 2023 14:17

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe kuwa Iran na Zimbabwe zimeazimia kuendeleza biashara.

  • Raisi aondoka Kampala kuelekea ziarani Harare

    Raisi aondoka Kampala kuelekea ziarani Harare

    Jul 13, 2023 08:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Alhamisi ameondoka Kampala na kuelekea Harake mji mkuu wa Zimbabwe baada ya kukamilisha ziara huko Uganda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS