-
Jumapili, 7 Mei, 2023
May 07, 2023 04:07Leo ni Jumapili tarehe 16 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 7 Mei 2023.
-
Rais wa Zimbabwe aahidi uchaguzi wa Rais utakuwa huru na wa haki
Apr 20, 2023 01:28Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameonya dhidi ya sauti za kigeni au za ndani, ikiwa ni pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali yasiyo ya uaminifu ambayo yanachochea migawanyiko na mifarakano.
-
Jumanne, tarehe 18 Aprili, 2023
Apr 18, 2023 07:22leo ni Jumanne tarehe 27 Ramadhani 1444 Hijria sawa na 18 Aprili 2023.
-
Zimbabwe kujinaisha kuajiriwa wafanyakazi wake wa afya katika nchi za kigeni
Apr 07, 2023 02:21Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Constantino Chiwenga, ametangaza kuwa nchi hiyo inakusudia kuanzisha sheria ambayo itafanya kuwa kinyume cha sheria kwa mataifa mengine kuajiri wafanyikazi wake wa afya.
-
Wazimbabwe wakasirishwa na baadhi ya shakhsia wa karibu na serikali kujihusisha na magendo ya dhahabu
Mar 30, 2023 11:40Dokumentari iliyoandaliwa na televisheni ya al Jazeera yenye makao yake mjini Doha huko Qatar ambaye imefichua namna watu walio na uhusiano na serikali ya Zimbabwe na chama tawala wanavyotorosha madini ya dhahabu, imeibua hasira miongoni mwa wananchi nchini humo.
-
Wafungwa sita wa Zimbabwe watoroka kizuizini Afrika Kuisini, polisi inawasaka washukiwa
Mar 14, 2023 11:41Polisi ya Afrika Kusini imetangaza kuwa imeanzisha msako wa kuwasaka washukiwa "wenye silaha nzito" ambao wamewaachilia huru wafungwa sita katika mapigano makali ya risasi.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran
Feb 28, 2023 07:35Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amekutaja kupanua uhusiano na maingiliano na nchi za Kiafrika hususan Zimbabwe kuwa ni moja ya njia kuu za sera za kigeni za Iran.
-
Zimbabwe inapoteza madaktari na walimu kwa unafiki wa Uingereza
Feb 09, 2023 02:18Uingereza ambayo sasa inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wauguzi na walimu baada ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya, imekuwa ikijielekeza katika koloni lake la zamani, Zimbabwe kutafuta wafanyakazi wa sekta ya umma wakiwemo wauguzi, madaktari na walimu.
-
Raisi: Uhusiano wa Iran na Zimbabwe ni wa kirafiki
Feb 07, 2023 15:18Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, amesema uhusiano wa Iran na Zimbabwe baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu daima umekuwa wa kirafiki na unaendelea kuimarika.
-
Iran na Zimbabwe kusaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano
Jan 22, 2023 07:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zinanatazamiwa kusaini hati kadhaa za makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili ndani ya wiki kadhaa zijazo.