Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo

    Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo

    Jan 16, 2023 12:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimeazimia kupanua zaidi ushirikiano wao katikka nyanja mbalimbalii ukiwemo uga wa michezo.

  • Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'

    Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'

    Nov 24, 2022 02:31

    Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imeudhinisha muswada wa sheria ya kuwaadhibu wananchi wasio wazalendo, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na vikwazo vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo la kusini mwa Afrika.

  • Iran na Zimbabwe zatathmini njia za kuimarisha uhusiano wao

    Iran na Zimbabwe zatathmini njia za kuimarisha uhusiano wao

    Nov 06, 2022 07:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe hapa mjini Tehran, na kujadili mikakati na njia za kupanua na kuboresha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili.

  • Mripuko wa surua umeua watoto 700 nchini Zimbabwe

    Mripuko wa surua umeua watoto 700 nchini Zimbabwe

    Sep 07, 2022 02:23

    Mripuko wa surua umeua takriban watoto 700 nchini Zimbabwe tokea mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa.

  • Salami: Maamuzi ya Iran yanaathiri uchaguzi wa Marekani

    Salami: Maamuzi ya Iran yanaathiri uchaguzi wa Marekani

    Sep 07, 2022 02:23

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maamuzi ya kisiasa ya Jamhuri ya Kiislamu yana taathira na nafasi kubwa katika chaguzi za Marekani.

  • Ripoti: Mikusanyiko ya Wakristo yachangia kuenea surua Zimbabwe

    Ripoti: Mikusanyiko ya Wakristo yachangia kuenea surua Zimbabwe

    Aug 16, 2022 02:41

    Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa surua nchini humo umesababishwa na mikusanyiko ya kidini ya Wakristo.

  • Wafanyakazi wa afya na walimu waanzisha mgomo Zimbabwe kulalamikia hali zao

    Wafanyakazi wa afya na walimu waanzisha mgomo Zimbabwe kulalamikia hali zao

    Jun 21, 2022 13:46

    Wafanyakazi wa sekta za afya na ualimu nchini Zimbabwe wameanzisha mgomo kulalamikia mazingira duni ya kazi huku wakikataa nyongeza ya asilimia mia moja ya mishahara iliyotangazwa na serikali mwishoni mwa wiki.

  • Jumamosi, 7 Mei, 2022

    Jumamosi, 7 Mei, 2022

    May 07, 2022 01:17

    Leo ni Jumamosi tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 7 Mei 2022 Miladia.

  • Jumatatu tarehe 18 Aprili 2022

    Jumatatu tarehe 18 Aprili 2022

    Apr 18, 2022 02:26

    Leo ni Jumatatu tarehe 16 Ramadhani inayosadifiana na tarehe 18 Aprili mwaka 2022.

  • Watu 35 wafariki dunia katika ajali ya basi nchini Zimbabwe

    Watu 35 wafariki dunia katika ajali ya basi nchini Zimbabwe

    Apr 15, 2022 12:05

    Kwa akali watu 35 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuhusika katika ajali mbaya ya barabarani nchini Zimbabwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS